bantu.garage
JF-Expert Member
- Oct 13, 2015
- 1,436
- 502
Pamoja na madudu yote...Saada na Mwingulu wanafaa kweli kuwa mawaziri....??????.kama Kitilya anayo kashfa..naamini kabisa wizara ya fedha hiyo kashfa ipo pia.
Kama Baraza la Mawaziri ndio dira na mwelekeo wa serikali basi serikali ya Kikwete ingekua mbali sana.
Hao Mawaziri unaowalilia ndio Hao hao wametuletea mabehewa mabovu, nikikumbuka hasara zilizosababishwa na mawaziri najiridhisha kuwa Magufuli yuko sahihi!
Ni karibia mwezi mmoja sasa Rais mteule John Magufuli anaongoza nchi bila ya Baraza la Mawaziri. Wapo watu ambao wanachukulia jambo hili kwa wepesi, na pengine wanasukumwa zaidi na ushabiki wa kisiasa kuliko mantiki ya kawaida kabisa.
Kuna pande mbili za hoja:
Upande wa kwanza ni hoja kwamba Rais mteule anabana matumizi yasiyokuwa ya lazima. Na upande wa pili wa hoja ni kwamba Rais mteule anataka kuhakikisha kwamba anateua watu sahihi na anaunda serikali ndogo.
Kutoteua mawaziri kwa wakati hakuokoi Gharama. Kuendesha serikali kwa kutumia watendaji ni Gharama. Utendaji serikalini unaongozwa na sera. Nchi ina Serikali mpya isiyokuwa na Mawaziri (policy makers). Waliopo ni Watendaji/civil servants (makatibu wakuu n.k). Watendaji hawa huwa hawatungi Sera (they are not Policy Makers). Civil servants do not define policy. Kazi ya bunge ni kusimamia serikali. Bunge lijalo halipo mbali sana. Mawaziri watakuwa na majukumu mengi na pengine muda hautawatosha kukamilisha sera mbalimbali kwa ajili ya utawala wa awamu mpya ya Tano.
Watumishi wa serikali (Makatibu wakuu n.k) wanategemea political leaders (Mawaziri) to define policy. Ni Mawaziri ndio wenye jukumu hilo, huku watumishi wa serikali wakiongozwa na makatibu wakuu, wakiwa ni watekelezaji tu wa sera husika. Ingawa Makatibu Wakuu huwa wanahusishwa katika kuandaa sera mbali mbali (hasa kama washauri), but at the end of the day, they never make policy choices. Hilo sio jukumu lao. Jukumu hilo lipo mikononi mwa Political leaders (Mawaziri).
Kazi ya Watumishi wa serikali huwa ni kusubiri mawaziri wawaambie nini cha kufanya. Wasipopewa mwongozo huo, watachofanya ni kuweka mfumo uliopo on autopilot, na kujikita zaidi on operational issues, malipo ya mishahara, na kusimamia regulatory functions.
Hauwezi kupunguza gharama kwa kuamua tu kutoteua mawaziri. Unaweza rationalise idadi ya mawaziri utakaoteua, unaweza kuhakikisha kwamba unateua watu sahuhi, unaweza kuamua kuhusu mishahara na posho zao, yote haya yanaweza kufanyika lakini hauwezi kuokoa fedha kwa kutoteua mawaziri.
Hauwezi kuendesha nchi bila ya Waziri wa Fedha, Waziri wa Mambo ya nje, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Waziri wa Kilimo, Waziri wa Viwanda na Biashara, Waziri wa TAMISEMI.
Hauwezi kuendesha na kuongoza uchumi kupitia Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu na wasemaji wawili wa Ikulu (Katibu Kiongozi na Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano).
Kiuchumi it's a much bigger problem. Chini ya serikali mpya, ni mwezi sasa, bado hakuna kauli rasmi ya serikali kuhusu sera, mwelekeo wa uchumi na usimamizi wa uchumi. Katika hali ya kawaida, huwa kuna madhara kwenye capital markets, currency markets, inflow of foreign capital n.k. Inaweza kuwa a good indicator of political risk, swali kuu likiwa ni - what would happen? Wawekezaji na wadau kwenye soko la mitaji, fedha za kigeni n.k, wote hawa wanahitaji matamko yanayo onyesha serikali inaelekea wapi kisera (hasa kiuchumi).
Bila ya uangalifu, muda sio mrefu, markets, investors, economic activities, vyote hivi vitaanza kuchukua a pessimistic view kwa sababu hakuna baraza la mawaziri, hakuna policy makers. Kwa mfano, leo hii, Wawekezaji hawajui waende wapi au wamwone nani. Fursa nyingi zinaweza kupotea.
From a global perspective, hali iliyo haikubaliki. Its unacceptable kwamba mtu anaweza kuendesha nchi bila ya Mawaziri wa sekta muhimu tulizojadili. Haiwezekani. Ni Kujidanganya. Kwa mfano, Waziri wa Fedha ni Chief Economic Advisor wa Rais. Leo hii nani anamshauri Rais kuhusu masuala ya uchumi wa nchi?
In a global sense, chini ya presidential system of government (vis a vis parliamentary system), hauwezi kushawishi watu kwamba unafanya kazi nzuri bila ya mawaziri katika serikali kwa muda mrefu kiasi hiki.
With all due respect, ni muhimu tukubali kwamba tunaanza kujenga utamaduni utakaotuletea matatizo makubwa katika governance machinery.
Tusiache kusifia mazuri lakini pia Tusiache kukosoa mapungufu.
Ni karibia mwezi mmoja sasa Rais mteule John Magufuli anaongoza nchi bila ya Baraza la Mawaziri. Wapo watu ambao wanachukulia jambo hili kwa wepesi, na pengine wanasukumwa zaidi na ushabiki wa kisiasa kuliko mantiki ya kawaida kabisa.
Kuna pande mbili za hoja:
Upande wa kwanza ni hoja kwamba Rais mteule anabana matumizi yasiyokuwa ya lazima. Na upande wa pili wa hoja ni kwamba Rais mteule anataka kuhakikisha kwamba anateua watu sahihi na anaunda serikali ndogo.
Kutoteua mawaziri kwa wakati hakuokoi Gharama. Kuendesha serikali kwa kutumia watendaji ni Gharama. Utendaji serikalini unaongozwa na sera. Nchi ina Serikali mpya isiyokuwa na Mawaziri (policy makers). Waliopo ni Watendaji/civil servants (makatibu wakuu n.k). Watendaji hawa huwa hawatungi Sera (they are not Policy Makers). Civil servants do not define policy. Kazi ya bunge ni kusimamia serikali. Bunge lijalo halipo mbali sana. Mawaziri watakuwa na majukumu mengi na pengine muda hautawatosha kukamilisha sera mbalimbali kwa ajili ya utawala wa awamu mpya ya Tano.
Watumishi wa serikali (Makatibu wakuu n.k) wanategemea political leaders (Mawaziri) to define policy. Ni Mawaziri ndio wenye jukumu hilo, huku watumishi wa serikali wakiongozwa na makatibu wakuu, wakiwa ni watekelezaji tu wa sera husika. Ingawa Makatibu Wakuu huwa wanahusishwa katika kuandaa sera mbali mbali (hasa kama washauri), but at the end of the day, they never make policy choices. Hilo sio jukumu lao. Jukumu hilo lipo mikononi mwa Political leaders (Mawaziri).
Kazi ya Watumishi wa serikali huwa ni kusubiri mawaziri wawaambie nini cha kufanya. Wasipopewa mwongozo huo, watachofanya ni kuweka mfumo uliopo on autopilot, na kujikita zaidi on operational issues, malipo ya mishahara, na kusimamia regulatory functions.
Hauwezi kupunguza gharama kwa kuamua tu kutoteua mawaziri. Unaweza rationalise idadi ya mawaziri utakaoteua, unaweza kuhakikisha kwamba unateua watu sahuhi, unaweza kuamua kuhusu mishahara na posho zao, yote haya yanaweza kufanyika lakini hauwezi kuokoa fedha kwa kutoteua mawaziri.
Hauwezi kuendesha nchi bila ya Waziri wa Fedha, Waziri wa Mambo ya nje, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Waziri wa Kilimo, Waziri wa Viwanda na Biashara, Waziri wa TAMISEMI.
Hauwezi kuendesha na kuongoza uchumi kupitia Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu na wasemaji wawili wa Ikulu (Katibu Kiongozi na Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano).
Kiuchumi it's a much bigger problem. Chini ya serikali mpya, ni mwezi sasa, bado hakuna kauli rasmi ya serikali kuhusu sera, mwelekeo wa uchumi na usimamizi wa uchumi. Katika hali ya kawaida, huwa kuna madhara kwenye capital markets, currency markets, inflow of foreign capital n.k. Inaweza kuwa a good indicator of political risk, swali kuu likiwa ni - what would happen? Wawekezaji na wadau kwenye soko la mitaji, fedha za kigeni n.k, wote hawa wanahitaji matamko yanayo onyesha serikali inaelekea wapi kisera (hasa kiuchumi).
Bila ya uangalifu, muda sio mrefu, markets, investors, economic activities, vyote hivi vitaanza kuchukua a pessimistic view kwa sababu hakuna baraza la mawaziri, hakuna policy makers. Kwa mfano, leo hii, Wawekezaji hawajui waende wapi au wamwone nani. Fursa nyingi zinaweza kupotea.
From a global perspective, hali iliyo haikubaliki. Its unacceptable kwamba mtu anaweza kuendesha nchi bila ya Mawaziri wa sekta muhimu tulizojadili. Haiwezekani. Ni Kujidanganya. Kwa mfano, Waziri wa Fedha ni Chief Economic Advisor wa Rais. Leo hii nani anamshauri Rais kuhusu masuala ya uchumi wa nchi?
In a global sense, chini ya presidential system of government (vis a vis parliamentary system), hauwezi kushawishi watu kwamba unafanya kazi nzuri bila ya mawaziri katika serikali kwa muda mrefu kiasi hiki.
With all due respect, ni muhimu tukubali kwamba tunaanza kujenga utamaduni utakaotuletea matatizo makubwa katika governance machinery.
Tusiache kusifia mazuri lakini pia Tusiache kukosoa mapungufu.
Aliahidi kuteua mawaziri kulingana na taaluma zao walizosomea....hatutengemei mwanataaluma wa masuala ya Nishati atakapo teuliwa atakuwa hajui policy na strategic plan za nchi na mnana zinavyotekelezwa kwa sasa katika wizara husika...! Hiyo ya February bunge kukaa tunaweza kulisogeza mbele ili maziri wapewe muda wa kutosha kwenye wizara...! Cha msingi kwa sasa wabunge wote watumie muda huu kupitia sera na mikakati iliyopo na wajiandae kutoa hoja za kuboresha sera na mikakati hiyona utekelezaji wake watakapo kutana bungeni.Hoja yako ni nzito tatizo watu wengi wamejikita katika kupiga makofi kumshangilia Magufuli. Ni kweli bunge linakuja mwezi February, inatakiwa by that time Mawaziri wawe wameshakaa kwenye wizara zao wamekuwa familiar na policy na strategic plans ili wakija kuhojiwa bungeni wawe na majibu. Nchi iendeshwe kwa mfumo sio one man Army style.
Mtoa mada naona umeleta hoja nzuri lakini pia haina mashiko. Unasahau kwamba mawaziri ni political figures na kuwa sera, mikakati na mwelekeo wa nchi kwa ujumla unatokana na hao watendaji wataalam. Kwa taarifa yako hao mawaziri wanaandaliwa kila kitu na kupitishwa kwenye kila kipengele ili aelewe na aseme kile anachotakiwa kusema.
Hoja unayoleta kuwa serikali sasa inaoperate kwenye outpilot sio kweli nadhani hujawahi kufanya kazi serikalini na kuona jinsi serikali inavyofanya kazi. Utakumbuka Rais wa Nigeria amefanya kazi kwa zaidi ya Miezi sita bila kuwa na baraza la Mawazir na nchi imeenda baraza la Mawaziri limeapishwa Juzi tu na hatujasikia wawekezaji wameondoka na Naijeria inasonga.
Tatizo mazoea yanatulemaza. Kama ingekuwa ni muhimu kuwa na baraza la mawaziri mapema kiasi hicho basi kungekuwa na provision ya muda maalum wa kuwa na baraza la mawaziri kwenye Katibu. Mwache JPM aandae mambo yake na naamini hata hao watakaoteuliwa wanajifunza kuwa Rais wa sasa anataka kufanya kazi namna gani.
Mimi ni mwana CCM damu damu. Nina marafiki zangu bungeni na ningependa kuona wanatumikia taifa katika nafasi kubwa zaidi za uwaziri. kama ulidhani sitaki mawaziri basi umepotea njia. Actually nilipendekeza vijana wangu wanne inabidi wawepo kwenye baraza la mawaziri katika awamu hii ya tano nao ni: January Makamba, Mwigulu Nchemba, Simbachawene na Ridhiwani Kikwete.