Bosco massawe
Member
- Jan 23, 2012
- 18
- 3
Jmn najua humu kuna madokta naomben msaada wa kufahamishwa madhara yanayoweza kumpata mwanaume endapo atakaa mda mrefu bila ku do
kama hayapo je kuna faida?
Ni zip?
NAWASILISHA
kama hayapo je kuna faida?
Ni zip?
NAWASILISHA