ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,544
Wiki jana nime drive kwenda na kurudi Tabora, kama kawaida ya hizi gari za serikali huwa mara zote huwa na haraka kuliko watumiaji wengine wa Bara Bara
Wakati Sie wanyonge Tutasafiri kwa woga wa kupigwa tochi za mbele na nyuma Hawa ndugu huwa hawajali Hilo badala yake ukiwa ktk speed 80 au 100 utapitwa kama vile umesimama! Hawa ndugu zetu hawajali usalama wao, hawana tahadhari na wala hawaogopi tochi kama sie kitu kinachowapata kujiamini kulikopitiliza, madereva wenzangu wa njia kuu watakua mashahidi kwa hili, hizi gari zipigwe jicho la ziada vinginevyo madhara hasa vifo hivi vya barabarani vitaendelea kututafuna
Serikali ilimulike hili na kulifanyia kazi vinginevyo nguvu Mali ya taifa itazidi teketea kwa ajali hizi
Wapumzike kwa amani marehemu 7wa ajali ya Dodoma pia wiki mbili zilizopita manyoni.
Wakati Sie wanyonge Tutasafiri kwa woga wa kupigwa tochi za mbele na nyuma Hawa ndugu huwa hawajali Hilo badala yake ukiwa ktk speed 80 au 100 utapitwa kama vile umesimama! Hawa ndugu zetu hawajali usalama wao, hawana tahadhari na wala hawaogopi tochi kama sie kitu kinachowapata kujiamini kulikopitiliza, madereva wenzangu wa njia kuu watakua mashahidi kwa hili, hizi gari zipigwe jicho la ziada vinginevyo madhara hasa vifo hivi vya barabarani vitaendelea kututafuna
Serikali ilimulike hili na kulifanyia kazi vinginevyo nguvu Mali ya taifa itazidi teketea kwa ajali hizi
Wapumzike kwa amani marehemu 7wa ajali ya Dodoma pia wiki mbili zilizopita manyoni.