Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 52,210
- 23,796
Nimeonaaaa hiiiii itv
Mbunge wa ilala amesema pamoja na piklpik kuvunja sheria kwa kuingia barabara ya Mwendokasi.
Badoo madereva hawa hawana nidhamu barabarani
Amesemaaa kuna wakati unaonaa gari inavyokimbizwa unawazaa ndani kabeba watu ama mbuzi.
Hakuishia hapoo akaombaa wafundishwe ubinadamu...
Kuondoa uhai wa mtu kisa amekosea sheria si uungwana
Zipo njia na adhabu za kuwaadhibu wavunja sheria wa mwendo kasi.
Lakini unapoona una uwezo wa kuokoaa maisha ya mwenzioo vyema ukafanya hivyoooo. .....
Mungu awape mda wa kusikia tena hekima yakooo mh mbunge.
Wanaua watu kama waoo hawafiiii..Hawajuii adhabu ya milele inayokuja juu yaoo
Mbunge wa ilala amesema pamoja na piklpik kuvunja sheria kwa kuingia barabara ya Mwendokasi.
Badoo madereva hawa hawana nidhamu barabarani
Amesemaaa kuna wakati unaonaa gari inavyokimbizwa unawazaa ndani kabeba watu ama mbuzi.
Hakuishia hapoo akaombaa wafundishwe ubinadamu...
Kuondoa uhai wa mtu kisa amekosea sheria si uungwana
Zipo njia na adhabu za kuwaadhibu wavunja sheria wa mwendo kasi.
Lakini unapoona una uwezo wa kuokoaa maisha ya mwenzioo vyema ukafanya hivyoooo. .....
Mungu awape mda wa kusikia tena hekima yakooo mh mbunge.
Wanaua watu kama waoo hawafiiii..Hawajuii adhabu ya milele inayokuja juu yaoo