muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 13,443
- 9,973
Mkuu,mimi sitashangaa,watu wanajihusisha na hizo mambo kisiri mno...Mange kanishangaza kumtaja 8020fashion
Mkuu,mimi sitashangaa,watu wanajihusisha na hizo mambo kisiri mno...Mange kanishangaza kumtaja 8020fashion
Kama ana uhakika na ushahidi aendelee kuwataja lakini kumtaja mtu Kwa kufuata mkumbo ni kuwatengenezea watu ulaji pasipo kujijua.Wakuu dada mange tayari keshathubutu kuwataja wachache kupitia insta page yake.
eti?Sadali - stand ya bus sgr
Kama wana uhakika waache wataje tu , kisichotakiwa ni kuwasingizia watu uongo .Mange kawataja kibao kwny page yake ya Insta, na ukifuatilia comment kuna followers wake nao wameendelea kuwataja.... Chini ya picha ya chidi
Wanataka utaje ili wakawaombe Rushwa kisha wewe mtajaji unabakia kuwa mbea tu.Kama rais alikuwa na majina na alishindwa kuwataja mimi ni nani mpaka nikurupuke kuwataja. Mfuate mzee wa msoga ataje yale majina ambayo alisema anayo mezani kwake.