Madawa ya Kulevya na aibu ya Tanzania - Yatosha sasa!

maisha magumu serikali haitoi ajira kwa watu wake, huku hao watu wakitamani kura bata daily kama viongozi wao hence kujiingiza kwenye madawa ya kulevya kutimiza haja zao.
 
Hiv unga unetengenezwa kwa kutumia vitu gani na kwann unatajirisha sana watu kwa Haraka au ni Mapepo haya.
 
Uhalifu hauwezi kuijenga nchi yetu ikaendelea kuwa bora...ifikie tamati sasa...wahusika wa biashara za aina hii wakamatwe...wenye nia njema na nchi yetu watafanya kazi na kuijenga. J
 
Mimi ni mmoja kati ya wapiga vita hili swala na madawa ya kulevya.

Yupo mtu mmoja anajiita Ali OCS,huyu ni hatar.Huyu ndo huwa ana wabebesha akina Linnah Sanga unga kwenda South.

Anasimamia haya magari ya kwenda congo kama zuga tu.Yani ukimtaja Kinje basi huyu ndo meneja wake.

Aliwah kununua Band wakti fulani ambaye mwimbaji wake ni Riva Hassan ila ikamshinda. Yeye huyu ndo anatafutaga Mapunda wote, na wote wanamwitaga yeye baba .

Kinje yeye si Boss basi huyu ndo Katibu mkuu wake.Kila siku yeye anasafiri kwenda South. ..na ukiona anasafiri ndan ya hiyo
ndege kuna Punda wake si chini ya watatu mpaka wanne.

Punda??Sipati picha 0714 za zina size gani
 
Wanaofanya hiyo biashara ni watu wakubwa ndani ya hii nchi na usikute polisi wanawajua ila ipo siku watajulikana
 
Mi nadhani tunakosea sana kuzisema vibaya taasisi zetu za kisiasa kwa sababu tu ya madudu yanayofanywa na mmoja ya wanachama kutoka ktk taasisi husika. Mi siamini kua chadema au ccm ni mbaya ila naamini kua baadh ya watendaji wasio waaminifu wa taasisi hizo ndio wabaya wakiwemo wale waliotolosha mabilion kwenda umangani.
 
Hoja nzuri ila ulipoanza kumtetea mtoto wa wengi na kusema.wanyonge wanachomekewa umeharibu mwenyewe hoja yako,napia uliposema nchi ni kama haina Rais ukanipoteza kidogo ina maana mwenzetu majipu yanayoendelea kukamuliwa huyaoni,hadi useme nchi ni kama haina rais,hapo ila hoja yako ya msingi
 
Nimeshtushwa na taarifa zilizoandikwa na gazeti la The Citizen la leo 11/01/2016 (ISSN 0856-9754 No. 3760) kuwa kuna ushahidi mpya wa polisi wetu kujihusisha na shughuli za kupora na kuuza madawa ya kulevya na kisha kutoa siri za jeshi na kuwasaidia wafanyabiashara haramu hiyo kutoroka mkono wa sheria.

Nadhani tuanze kuohoji, madawa ya kulevya yote yaliyokamatwa na kuwekwa kwenye stoo za 'vidhibiti' kwa ajili ya kesi husika yalipelekwa wapi? kweli yapo huko stoo? Kama mambo yenyewe ndiyo hayo? Na kama yaliteketezwa tunahitaji ushahidi usiotiliwa shaka kuwa yaliteketezwa. Vinginevyo, yakikosekana huko stoo na hakuna ushahidi wowote kuwa yaliteketezwa, basi wote walihusika na udhibiti wa madawa hayo ya kulevya kuanzia bosi wa mpaka mfunga na mfungua kufuli wa stoo, wafunguliwe mashitaka mawili moja kama wauzaji wa madawa hayo pili waahini kwa kutoa siri za jeshi jambo linalohatarisha usalama wa taifa.
 
Hoja nzuri ila ulipoanza kumtetea mtoto wa wengi na kusema.wanyonge wanachomekewa umeharibu mwenyewe hoja yako,napia uliposema nchi ni kama haina Rais ukanipoteza kidogo ina maana mwenzetu majipu yanayoendelea kukamuliwa huyaoni,hadi useme nchi ni kama haina rais,hapo ila hoja yako ya msingi
Uzi wa 2013
 
Nimeshtushwa na taarifa zilizoandikwa na gazeti la The Citizen la leo 11/01/2016 (ISSN 0856-9754 No. 3760) kuwa kuna ushahidi mpya wa polisi wetu kujihusisha na shughuli za kupora na kuuza madawa ya kulevya na kisha kutoa siri za jeshi na kuwasaidia wafanyabiashara haramu hiyo kutoroka mkono wa sheria.

Nadhani tuanze kuohoji, madawa ya kulevya yote yaliyokamatwa na kuwekwa kwenye stoo za 'vidhibiti' kwa ajili ya kesi husika yalipelekwa wapi? kweli yapo huko stoo? Kama mambo yenyewe ndiyo hayo? Na kama yaliteketezwa tunahitaji ushahidi usiotiliwa shaka kuwa yaliteketezwa. Vinginevyo, yakikosekana huko stoo na hakuna ushahidi wowote kuwa yaliteketezwa, basi wote walihusika na udhibiti wa madawa hayo ya kulevya kuanzia bosi wa mpaka mfunga na mfungua kufuli wa stoo, wafunguliwe mashitaka mawili moja kama wauzaji wa madawa hayo pili waahini kwa kutoa siri za jeshi jambo linalohatarisha usalama wa taifa.

Mkuu hii shughuli ni pevu. Tulishaambiwa huko nyuma kwamba, wakishughulikiwa Nchi itayumba.
Mti mkubwa ukigwa Wana wa ndege huyumba. Hii maana yake mtandao wake ni mkubwa sana.Inawezekana huu mtandao upo hata huko Usalama wa Taifa, Polisi,idara ya Mahakama na hata viongozi waandamizi ndani ya Serikali yetu.
Hii ni kama kesi ya Ngedere ,Kima na Nyani.
 
Kuna polisi wengi tu wamekuwa wa
Nimeshtushwa na taarifa zilizoandikwa na gazeti la The Citizen la leo 11/01/2016 (ISSN 0856-9754 No. 3760) kuwa kuna ushahidi mpya wa polisi wetu kujihusisha na shughuli za kupora na kuuza madawa ya kulevya na kisha kutoa siri za jeshi na kuwasaidia wafanyabiashara haramu hiyo kutoroka mkono wa sheria.

Nadhani tuanze kuohoji, madawa ya kulevya yote yaliyokamatwa na kuwekwa kwenye stoo za 'vidhibiti' kwa ajili ya kesi husika yalipelekwa wapi? kweli yapo huko stoo? Kama mambo yenyewe ndiyo hayo? Na kama yaliteketezwa tunahitaji ushahidi usiotiliwa shaka kuwa yaliteketezwa. Vinginevyo, yakikosekana huko stoo na hakuna ushahidi wowote kuwa yaliteketezwa, basi wote walihusika na udhibiti wa madawa hayo ya kulevya kuanzia bosi wa mpaka mfunga na mfungua kufuli wa stoo, wafunguliwe mashitaka mawili moja kama wauzaji wa madawa hayo pili waahini kwa kutoa siri za jeshi jambo linalohatarisha usalama wa taifa.
Polisi wengi wamekuwa wakijihusisha na madawa ya kulevya...wanayakamata alafu wanayauza nao polisi wanajulikana tu ila baadhi yao sahvi wamehamishwa vituo.
Hao kazi yao kubwa ilikuwa wanavizia boom likingia wanapiga mshindo,huwa wana Hongwa mpaka mln 200 wakikamata maana polisi huwa wanawatumia ma informer wao!hizo issue now hajui na hazimfikii
Mfano kuna jamaa Yuko mjini hapa wanasema ni usalama ila mm namuonaga kama informer tu anaitwa ad---- sa---- jama kapiga sana mshindo hiyo na ana vijihela fulani

Ovaaa
 
Back
Top Bottom