Madaktari waliofukuzwa waula Namibia, Botswana, Rwanda na A.Kusini

:A S 465:HUREEEEY ENDENI JAMANI TUONE HATA WALIMU MKIPATA ENEO NZURI GO TO TEACH THIS CCM GOVERNMENT A LESSON. Watatoka Bungeni kuhudumia Wagonjwa na Kufundisha ma skuli yetu. Wabombavu sana wote wa CCM wanavyoona eti Wanagoma ma Daktari na Walimu. Hawa CCM wanafanya mzaha kusema ongo kwa Chadema. Tunawajua na tunaelewa na tunaulewa na ATUDAGANYIKI. HONGERENI MADAKTARI YETU ENDENI JAMANI NI UHAI WENU NA FAMILIA. HATA KAMA MIMI I will take a better package where I will feel respected, comfortable as well as my family. HUREEEEY NA GO FOR IT MADAKTARI

Anyway tutaendelea tu kufundishana huenda siku tutaelewa...Serekali ya CCM sio wahanga katika hilo...Mwalimu wangu wa CIVICS alinifundisha kuwa serekali ina mafiga matatu...Executive, Judiciary and Parliament....Naomba elimu kidogo hapa haswa tunaposhangilia...suppose huduma ni mbaya sana kwenye hospitali zetu...to what extent Mawaziri (including president vice and PM), wabunge na mamaji (ambao ndio serekali yenyewe) watakuwa/wanakuwa affected na hiyo hali?? Je ni wateja wa hizo hospitali ambazo madaktari wake wanaondoka??

Hadi sasa hatuna walimu na kuna shule zina wanafunzi zaidi ya 500 lakini kuna mwalimu mkuu na msaidizi wake tu....je watoto wa hii serekali (mawaziri, Mahakimu na Wabunge) ni miongoni mwao hao??

Tukishatafakari hayo maswali turudi ama kushangilia haya mambo tukiwa tunajua what are we celebrating....kama sio watoto wa shangazi mjomba na watoto wa baba yako waliotapakaa sehemu mbali mbali za nchi na walalahoi kwa ujumla wanakuwa victimized.....

 
Wakienda watanzania watatibiwa na nani?Utawapeleka kule ambako wewe huwa unapekekwa kwa kodi ya mwananchi masikini?

Wanataka mshahara mkubwa wa Milioni 7.7 kwa mwezi kwa mwaka ni Milioni 848,400,000 na muajiri wao serikali hana uwezo...
 
Hayahaya magazeti ambayo Wahariri wake wengi wao ni Walevi wa mataptap...!!
Waacheni watekeleze maagizo ya Mkuu wao wa nchi ya kwenda kule wanapofikiria wanaweza kulipwa mshahara wa equivalent to 7.5M kwa mwezi.

soma thread ya "Serikali ilipokosea katika madai ya madaktari" na kufanya mahesabu uone kama inafika hiyo "7.5mil"..na hata kama ingekuwa inafika mfano mzuri ni Rwanda(iliyokuwa ktk vita 1994 iliyoharibika kiuchumi, yenye vyanzo vya mapato madogo kuliko Tz lakini bado yenye kujali daktari na kumlipa dola 2500USD kwa mwezi !!bila allowances.. huoni aibu kwa nchi yako hii!!
 
(By Mkirua
Kwa hili sina haja ya kuweka siasa...Let them go in peace...wakapate hiyo 7.7)

They go in peace and we remain in pieces.

 
Mbona hadithi ni nyingi? si waende tu, walikatazwa? hapa hatuna shida na madaktari wanaogoma kutibu wagonjwa kwa sababu za kipato na marupurupu.

Kwanza wakiwa huko nchi itafaidika zaidi na fedha za kigeni watazoingiza wakizileta kujenga na kusaidia jamaa zao.

Tunawatakia kila la heri, safari njema na mishahara minono. Wapwa zangu wawili (madaktari) nao ntawaambia wafanye bidii ya kwenda huko maana nnajuwa mimi ndio wa kuwatazamia miradi yao hapa. Kwi kwi kwi teh teh teh!

Bongo Bingo.
 
NATAMANI MADAKTARI HAO WAZUILIWE KUTOKA NJE YA NCHI, kuna Watanzania wengi wanaokufa kwa sababu ya kukosa matibabu...madaktari ni WAJEURI na wana UKATILI sana. They are too selfish and greedy...

Endelea kutamani hadi mwisho! Uwazuie kwa kosa lipi!walipoambiwa wakatafute "mshahara" wanakojua kana kwamba walikuwa wanadai na si kutoa pendekezo, na kudharauliwa!!waTz wanaendelea kukosa matibabu kwa wanapata matibabu "Lugalo"..so kama unaumwa njoo tu hapa lugalo kulingana na W/mkuu alivyosema lakini waache waende kama Rais wako alivyowapa green light.
 
"Kutokana na ukweli huo basi kama daktari anayeona kuwa hawezi kufanya kazi Serikalini bila ya kulipwa mshahara huo awe huru kuacha kazi na kwenda kwa muajiri anayeweza kumlipa kiasi hicho. Nasi tutamtakia kila la heri. Hana sababu ya kugoma ili ashinikize kulipwa mshahara huo. Asisumbuke, hatalipwa mshahara huo." (JK et al., 2012)

This is shame! Serikali inaandaa wataalam na kuwatupilia mbali!! Hasara yooote ya nini?? Just imagine, fora a person to become dr bingwa, it takes not less than 10 yrs na inagharimu sio chini ya 100 mil. Lakini Mkuu wa Nchi anawapa ruhusa ya kwenda wanapojisikia. Hapa nakubali "akili ndogo" inaongoza akili kubwa. Wao hata mafua tu wanakwenda India, eti kufanya check up! Vipi kuhusu sisi wananchi??
 
Shida kubwa ya nchi hii ni kuwa wanasiasa wameruhusiwa kuingilia kazi za wataalamu!!!! Maamuzi mengi ni ya kisiasa na kulipizana visasi pasipo kuangalia maumivu kwa mwananchi wa kawaida!!!!!
 
Anyway tutaendelea tu kufundishana huenda siku tutaelewa...Serekali ya CCM sio wahanga katika hilo...Mwalimu wangu wa CIVICS alinifundisha kuwa serekali ina mafiga matatu...Executive, Judiciary and Parliament....Naomba elimu kidogo hapa haswa tunaposhangilia...suppose huduma ni mbaya sana kwenye hospitali zetu...to what extent Mawaziri (including president vice and PM), wabunge na mamaji (ambao ndio serekali yenyewe) watakuwa/wanakuwa affected na hiyo hali?? Je ni wateja wa hizo hospitali ambazo madaktari wake wanaondoka??...

They are affected in virtual mode.
 
Wanataka mshahara mkubwa wa Milioni 7.7 kwa mwezi kwa mwaka ni Milioni 848,400,000 na muajiri wao serikali hana uwezo...
Mkuu umekosea kuandika au ni nimesoma vibaya, Kuwa hizo Trioni 848.4 (milioni 848,400,000) ndo mishahara ya Dr. wetu kwa mwaka!. Siamini
 
Porojo hizi sasa zinakera. Ndugu wengine tunafanyakazi kwenye mojawapo ya balozi ulizotaja. Acha uongo, si tabia nzuri!

Ha hah haa, Bungeni Ndugai lisema taarifa za kunukuu magazetini ni za udaku!
 
Porojo hizi sasa zinakera. Ndugu wengine tunafanyakazi kwenye mojawapo ya balozi ulizotaja. Acha uongo, si tabia nzuri!

Wasiliana na Raia Mwema. Unaweza ukawa unafanya kazi ubalozini, lakini huwezikujua kila kitu! Sasa kama unafanya usafi ubalozini utayajua haya kweli????
 
maavii waende wanajua kuongea kizungu walishazoea kuongea kiswahili wengi watashindwa tu interview heri waiangukie serikali iwarudishe kundini
 
Bora waondoke tu watuondolee kiwingu watakbaki wale wenye moyo wataendelea kupiga kazi.

wenye moyo?!!seriously?! wakati walikuwa wanatukanwa, kukejeliwa, kudhihakiwa na kudharauliwa?! leo hii wao ndio tunarudi kwao wakiwa na VISASI na huduma mbovu!! sasa hivi naamini watakaorudi wako radhi kutuacha ( wazee, wakinamama, watoto nk) tukifa au kuteseka kwani hasira zimewajaa na kukatishwa tamaa! vifo vitaongezeka na visingizio vitakuwa vingi hata pale penye uwezo wa kutibiwa na hapo ndipo siasa itakuwa imefanikiwa.
 
Back
Top Bottom