Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 12,998
- 6,659
Bora waende wakafie mbele sasa kama walikuwa na hiyo option kwanini walikuwa wanagoma? si wangeacha kazi kimya kimya wakaenda huko kwenye mafano manono?
Mkuu walikuwa hawahitaji Mafano na wala hawajawahi kudai kitu kama hicho