hii serikali ya ajabu sana! yaani kukimbilia mahakamani inategemea mgono kuisha?!
wodi ya watoto(Peads):hakuna vifaa vya kuongezea maji/damu (cannula), hakuna mitungi ya gas( Oxygen cylinder) and the same applies to wodi ya kina mama(OBGYN)
Medical ward n MOI: Wagonjwa wanalala chini
Radiology:CT scan mbovu mwezi wa saba sasa, hivyo inahitajika kwenda Regency kwa gharama zaidi...kisa wizara inadaiwa mil.800/=Tshs na holder wa CT scan!! sekta ya afya tunategemea umtibu mtu apone na sio ku_address wagonjwa wakatafute dawa nje...watu wana bima lakini hakuna madawa.. basic drugs, worse inakuwa pale kwenye resuscitation(life saving drugs i.e Adrenaline)....hakuna, na chache zilizopo they are out of date(expired)!!! hapa mnasemaje tusigome?!
kilichobaki ni kupiga picha na videos kisha kuweka mtandaoni muelewe tunaongelea nini!!
hii serikali ya ajabu sana! yaani kukimbilia mahakamani inategemea mgono kuisha?!
wodi ya watoto(Peads):hakuna vifaa vya kuongezea maji/damu (cannula), hakuna mitungi ya gas( Oxygen cylinder) and the same applies to wodi ya kina mama(OBGYN)
Medical ward n MOI: Wagonjwa wanalala chini
Radiology:CT scan mbovu mwezi wa saba sasa, hivyo inahitajika kwenda Regency kwa gharama zaidi...kisa wizara inadaiwa mil.800/=Tshs na holder wa CT scan!! sekta ya afya tunategemea umtibu mtu apone na sio ku_address wagonjwa wakatafute dawa nje...watu wana bima lakini hakuna madawa.. basic drugs, worse inakuwa pale kwenye resuscitation(life saving drugs i.e Adrenaline)....hakuna, na chache zilizopo they are out of date(expired)!!! hapa mnasemaje tusigome?!
kilichobaki ni kupiga picha na videos kisha kuweka mtandaoni muelewe tunaongelea nini!!
Picha ya kati, huyu jamaa wa kushoto vipi? mbona dawa inamwasha.Iwapo madaktari hawapewi haki zao basi serikali yetu dhaifu iturudishie kikombe cha babu!!
hii serikali ya ajabu sana! yaani kukimbilia mahakamani inategemea mgono kuisha?!
wodi ya watoto(Peads):hakuna vifaa vya kuongezea maji/damu (cannula), hakuna mitungi ya gas( Oxygen cylinder) and the same applies to wodi ya kina mama(OBGYN)
Medical ward n MOI: Wagonjwa wanalala chini
Radiology:CT scan mbovu mwezi wa saba sasa, hivyo inahitajika kwenda Regency kwa gharama zaidi...kisa wizara inadaiwa mil.800/=Tshs na holder wa CT scan!! sekta ya afya tunategemea umtibu mtu apone na sio ku_address wagonjwa wakatafute dawa nje...watu wana bima lakini hakuna madawa.. basic drugs, worse inakuwa pale kwenye resuscitation(life saving drugs i.e Adrenaline)....hakuna, na chache zilizopo they are out of date(expired)!!! hapa mnasemaje tusigome?!
kilichobaki ni kupiga picha na videos kisha kuweka mtandaoni muelewe tunaongelea nini!!
Ahaaaaaa! Kumbe wao wamekunywa kikombe so wanauhakika wa kutoumwa ndo maana hawajali mgomo wa madaktari na pia bado wana uhakika wa kutibiwa India. Na ndo maana juzi badala ya kuwaongezea maslahi madaktari wameamua kujiongezea wenyewe toka mil. 7 hadi 10. Du, Ee mungu tunaomba 2015 ije haraka.
hii serikali ya ajabu sana! yaani kukimbilia mahakamani inategemea mgono kuisha?!
wodi ya watoto(Peads):hakuna vifaa vya kuongezea maji/damu (cannula), hakuna mitungi ya gas( Oxygen cylinder) and the same applies to wodi ya kina mama(OBGYN)
Medical ward n MOI: Wagonjwa wanalala chini
Radiology:CT scan mbovu mwezi wa saba sasa, hivyo inahitajika kwenda Regency kwa gharama zaidi...kisa wizara inadaiwa mil.800/=Tshs na holder wa CT scan!! sekta ya afya tunategemea umtibu mtu apone na sio ku_address wagonjwa wakatafute dawa nje...watu wana bima lakini hakuna madawa.. basic drugs, worse inakuwa pale kwenye resuscitation(life saving drugs i.e Adrenaline)....hakuna, na chache zilizopo they are out of date(expired)!!! hapa mnasemaje tusigome?!
kilichobaki ni kupiga picha na videos kisha kuweka mtandaoni muelewe tunaongelea nini!!
hii serikali ya ajabu sana! yaani kukimbilia mahakamani inategemea mgono kuisha?!
wodi ya watoto(Peads):hakuna vifaa vya kuongezea maji/damu (cannula), hakuna mitungi ya gas( Oxygen cylinder) and the same applies to wodi ya kina mama(OBGYN)
Medical ward n MOI: Wagonjwa wanalala chini
Radiology:CT scan mbovu mwezi wa saba sasa, hivyo inahitajika kwenda Regency kwa gharama zaidi...kisa wizara inadaiwa mil.800/=Tshs na holder wa CT scan!! sekta ya afya tunategemea umtibu mtu apone na sio ku_address wagonjwa wakatafute dawa nje...watu wana bima lakini hakuna madawa.. basic drugs, worse inakuwa pale kwenye resuscitation(life saving drugs i.e Adrenaline)....hakuna, na chache zilizopo they are out of date(expired)!!! hapa mnasemaje tusigome?!
kilichobaki ni kupiga picha na videos kisha kuweka mtandaoni muelewe tunaongelea nini!!
Huo ndio ukweli ama wanaficha maslahi yao. Naona wameanza kuingiza siasa ndani ya mgomo kujenga hoja kwa wananchi. Ukweli mwisho utajulikana tu. Sisi wengine twatizama ligi yao.
Huo ndio ukweli ama wanaficha maslahi yao. Naona wameanza kuingiza siasa ndani ya mgomo kujenga hoja kwa wananchi. Ukweli mwisho utajulikana tu. Sisi wengine twatizama ligi yao.