Nyalotsi
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 6,978
- 5,025
Mkuu tuweni objective na madai ya madaktari wetu (hapo kwa red). Wanachopigania ni maslahi yao, hili la vifaa ni kipandio tu ili wapate public support. Hivi unajua vifaa ni one point ktk orodha yao yenye madai 12?
madai yalikuwa 8,hayo mengine wameongeza kina mwinyi na wenzao. Hivi wewe, kupunguza viongozi kwenda nje ilid fedha ziboreshwe haikusaidii? Nyumba ya daktari ikiwa karibu na hosp ili asichelewe haikusaidii? Daktari akiwezeshwa vizuri ili akuhudumie with full conc haikusaidii? After all kila mtu atapigania haki yake.