Mulama
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 3,018
- 1,791
Tatizo sio kufundishia mgonjwa alliye wodini, tatizo ni misconduct katika presentation yake kwakuwa pale kulikuwepo mult audience na pia possibility ya kusikiwa na mgonjwa husika ilikuwa kubwa hivyo alikiuka Daktari ana kanuni ya Re assurance of the Patient hata kama anakaribia kukata roho hutakiwi kumwambia. Hivyo tatizo si kufundishia mgonjwa kwa sababu hata kwenye Anatomy Dissecting ni maiti zinatumikaHalo jamani mnachosema ni sahìhi ila kwa habari ya hicho ieleweke kuwa madaktari huwa wanajifunza kwa vitabu na kwa vitendo pia. Unajua ikiwa mgonjwa mmoja kwenye vipimo ana findings ambazo zimeonekana, hivyo ni muhimu awashirikishe wanafunzi maana ndo maspecialists wa kesho. Hivyo ukimkatalia leo asijifunzie mgonjwa wako, jua kesho itatokea wewe au jamaa yako au mtu mwingine kaugua ugonjwa huohuo na wa kumhudumia ni huyo daktari ambae leo ni mwanafunzi. Mpaka huyo daktari kuwakusanya wanafunzi wa udaktari alikuwa sahihi kabisa ili wawe exposed kwa ajili ya msaada wa kesho. Hebu tufikirie kabisa kwa upande mwingine ile ni teaching hospital ingekuwa labda anasema hivyo kwa watu ambao wake nje ya profession hilo ni kosa na si maadili ila kuwafundisha wengine hiyo ni hazina ya kesho ni lazima kuwekeza for future.