juliusemassesa
Member
- Aug 26, 2016
- 71
- 33
Mm MD siwaamin sana huwa naenda kwa MMED angalau kuna uhakika kidogoI remember kuna Dr Mmoja Dr Fabian (mwana Mama) I think so wa MUCHS (UDSM College enzi zile ) tulikutana Abroad alikuja kikazi aliwahi tamka kubadili mfumo Kuyoka term system kwenda semester taifa litazalisha ma dakitari wauaji ni kweli kabisa. MD wa Tanzania ni killers kwa sehemu kubwa. Sijui kifanyike nini.