Iblis Bin Shetan
JF-Expert Member
- Sep 24, 2018
- 1,624
- 2,147
Mimi nilienda hospital flani nilijikata aisee nilishonwa bila ya ganzi yule dakatari nilitamani nimtandike ngumi eti anjitetea lignocaine imeisha puuzi shenzi kabisa 😁😁😁😁😁
Internal pain , inategemea na shughuli unazofanya hasa kuji expose ktk moshi mzito wenye cabon nyingi,Hii ndiyo hali ninayo sasa.
Mbavu zinabana na kuachia, kichwa, mwili na viungo vinauma uma tuu.. Muda wote mwili una uchovu.
Na hapa nimeshamaliza Dozi ya UTI na Typhoid zaidi ya Wiki sasa ila sijaona mabadiliko yoyote.
Huenda hii kitu ipo kweli mtaani huku..
Ulifanya vemaNaandika uzi huu kwa uchungu na majonzi makubwa.
Siku za hivi karibuni nikiwa mkoa wa ugenini mishale ya usiku nilianza kujisikia hovyo sana kwa ghafla tu. Hali ilianza kubadilika mida ya saa sita za usiku. Nilianza kujisikia hali ya ganzi upande wa kushoto wa kifua, na mapigo ya moyo kwenda mbio hasa.
Nikapambana na kujitahidi huku nikimuomba Mungu anifikishe tu asubuhi salama, kisha niwahi hospitali asubuhi hiyo. Lakini, kwa bahati mbaya hali ilizidi kuwa tete kadri muda unavyosonga. Basi, hadi kufika mida ya saa tisa hali bado ilikua ngumu, sasa nikaanza kusikia hali ya kifua kuwa kizito na kama hali ya kukosa hewa hivi.
Nikasema hapa sina namna, la sivyo wenyeji wanaweza kukuta mwili tu asubuhi hapa, maana nilikua peke yangu. Nikampigia simu mwenyeji wangu bahati nzuri akapokea nikamwambia naona hali yangu si nzuri, akaja fasta na gari, akashauri kuwa kwa vile ni usiku sana anipeleke tu health center ya binafsi ambayo si mbali sana kutoka hapo, kisha kama wataona umuhimu wa kutoa rufaa kwenda hospitali ya juu zaidi ndo twende, nikasema, sawa haina shida.
Aka drive hadi hapo health center, nikashuka nikaingia mapokezi nikaandikisha jina vizuri, nikaingia kwa daktari.
Kufika kwa daktari, akaniuliza shida nikampa historia yangu vizuri kabisa, sasa cha kushangaza yaani yule daktari hata kunifanyia physical examination hakutaka!! Yaani nampa dalili za moyo kwenda mbio, kifua kubana ila yeye hata kusema asikilize mapigo ya moyo, asikilize kifua (mapafu) kama hewa inaingia vizuri, asikilize pulse rate na rythym, wala!! Alichofanya tu alimuita nurse, akamwambia anipime presha, nikapimwa presha kwa automatic blood pressure machine. Karudia pale kama mara tatu, anapata readings tofauti tu hadi kachanganyikiwa achukue reading ipi. Yaani hata ugonjwa uliisha ghafla nikawa nawaza what is this? Ila ikabidi niwe mpole tu, maana sikutaka kujitambulisha kama daktari wala kujimwambafai. Baada ya nesi kuondoka, nikajua atanifanyia physical examination sasa asikilize hata kifua na mapigo ya moyo.Walaaaahhh hakuwaza kabisa!
Basi, akaandika vipimo vya lab pale, nikasubiri kidogo nikaja kutolewa damu,zikapelekwa maabara. Majibu yamerudi, nikaitwa tena kwa daktari, akaniambia majibu yangu na kuniandikia dawa za uongo na kweli. Nimetoka pale, hata pharmacy sikwenda, nikatoka nikamshtua jamaa yangu nikamwambia twende zetu, I was so disappointed hasa kwa sababu wakati yule daktari anajaza fomu yangu ya bima, niligundua kuwa kumbe ni MD kabisa (kwa maana ya kwamba ana shahada ya udaktari), yaani ndo nilichoka kabisa, maana mwanzoni nilidhani ana diploma tu (CO).
Tumetoka pale tayari saa kumi na moja alfajiri, jamaa akanirudisha tu home ila niliwaza sana aisee, kama MD ndo anakua hivyo, nikasema tuna shida kubwa sana nchini.
Ndio maana kila siku naona nyuzi humu madaktari tunatukanwa, aisee kumbe we deserve it kama madaktari wenyewe ndo sampuli ile niliyokuta pale. Waalimu mliopo vyuo vya udaktari mnawaandaaje hawa vijana huko vyuoni aisee? Daktari gani, a whole MD unakua hovyo hivyo?
We are doomed kwa kweli.
Ilibidi tu kulipokucha nicheki na jamaa yangu cardiologist yupo hospitali fulani ya rufaa ya zonal nikaenda pale kutibiwa, naendelea fresh now.
I am not saying kuwa I expected pale nifanyiwe vipimo vya hali ya juu vya moyo labda, no..!! ila daktari unapata mtu ana complain moyo unaenda mbio na kifua kizito, hata kumsikiliza moyo haumsikilizi, hausikilizi sauti za kwenye mapafu, hau palpate hata pulse..?? A whole MD?
We are doomed.
Halafu daktari namuuliza mbona huniangalii chochote(mimi nishazowea kupimwa kwa kuangalia macho,ulimi,masikio,mapigo ya moyo kifuani/mgongoni, magoti) huyu daktari hata kunigusa hajanigusa. Kaandika tu dawa na kunambia nenda kachukuwe dawa pharmacy yao na kuondoka.Sasa hivi naona bora nikapange foleni serikalini hukoo kuliko hizi private utopolo mtupu
Mkuu hayajakufika kuna sehemu niliwahi kuwasema wale wana wakaniwekea mwanasheria wao. Kwa kesi ya kuwaharibia biashara mahakama ilinitaka niwalipe wale watu fidia mpaka leo sina mambo ya kutaja majina ya sehemu husika.Hadi hapo inakuwa ni uongo, privacy ya kitu gani kwamba wewe pekee ndo mgonjwa hospital nzima?
Kwenye madonge hapo ndio balaa nilipewa madonge ya kuondoa maumivu ambayo haya madonge hupewa mtu alietoka surgery. Nili google jina la hio dawa ndio nikajuaUna mikojo michafu lakini tena bado unameza madonge yenye sumu!!!
Watu huwa mnajitakia kufaa!!
aliyesoma Kumamoto ni ng'walali tu .Huu ni uongo unaofana na ukweli labda ungesema kuna mahali kuna shida ila sio kuwa Vyuo vyetu vyote uozo hawa Proff wetu waliojaa vyuoni kwetu ndio hawahawa wamesoma Sijui Calgarly mara KUMAMOTO, sijui Zhengjeng na ndio hufundisha na kuandaa mitaala huku vyuoni inamaana nawenyewe ni UOZO japo wamesoma hukohuko Nje ambako wewe unaona wako vizuri
Mara kadhaa nimekuwa naona Gynacologist sijui Cardiologist(toka nje) wanakuja fanya kambi katika vituo ambavyo nakuwepo pia mbona wenesomagi wamekuwa wakiwakubali sana baadhi ya wataalam wetu wandani wako vizuri!??
Acha kutudanganya hapaMkuu hayajakufika kuna sehemu niliwahi kuwasema wale wana wakaniwekea mwanasheria wao. Kwa kesi ya kuwaharibia biashara mahakama ilinitaka niwalipe wale watu fidia mpaka leo sina mambo ya kutaja majina ya sehemu husika.
Daktar yupo sahihiNdugu yngu kafanya vipimo tukaambiwa ana tatizo la brucella, daktari anasema ili apone anatakiwa anywe doze ya TB akichanganya na dawa inaitwa Doxycycline vindonge mamia kwa mamia.
Baadhi ya madaktari wa siku hizi ni changamoto
Hii ni Tatepa yenye tangawiziIt's true!
Wakati mama angu anakaribia kustaafu;akiwa wodini na hao internship wa kutoka UDOM ,aisee si akakuta dada anachanganya dawa(Ile ya unga ya sindano) na maji ya uhai 😳...wakati zile Zina maji yake ya kuchanganyia....
Ndo mama anamuuliza,ndo mnavyofundishwa? Hana la kujibu ...
Ilibidi mama angu afanye mwenyewe Ili kumchoma sindano huyo mgonjwa!
Km huna Dr ,nesi unaemfahamu vzr kwakweli ni balaa
Hao wanalazimisha
Pole sanaHii ni Tatepa yenye tangawizi
Asante mkuu,ni hosptal tena ya wilaya...
Pole sana mkuu, na kama ilkua ni hospital ya serikali ndio mambo yao.
Mimi kanichosha daktari wa Membe, Dr Nyagori. Kasema on live TV marehemu kafa na Pulmonary Embolism iliyosababishwa na virusi. Toka lini cardiovascular case kama PE ikasababishwa na kirusi wakati inajulikana inasababishwa na DVT blood clots za miguuni 95% of the times na hizo 5% zilizobaki hakuna kirusi kinachohusika?? Na anajiita Profesa tena. Na yeye yuko Muhimbili, Membe alipelekwa Kairuki, amepata wapi hayo ma diagnosis yake?Naandika uzi huu kwa uchungu na majonzi makubwa.
Siku za hivi karibuni nikiwa mkoa wa ugenini mishale ya usiku nilianza kujisikia hovyo sana kwa ghafla tu. Hali ilianza kubadilika mida ya saa sita za usiku. Nilianza kujisikia hali ya ganzi upande wa kushoto wa kifua, na mapigo ya moyo kwenda mbio hasa.
Nikapambana na kujitahidi huku nikimuomba Mungu anifikishe tu asubuhi salama, kisha niwahi hospitali asubuhi hiyo. Lakini, kwa bahati mbaya hali ilizidi kuwa tete kadri muda unavyosonga. Basi, hadi kufika mida ya saa tisa hali bado ilikua ngumu, sasa nikaanza kusikia hali ya kifua kuwa kizito na kama hali ya kukosa hewa hivi.
Nikasema hapa sina namna, la sivyo wenyeji wanaweza kukuta mwili tu asubuhi hapa, maana nilikua peke yangu. Nikampigia simu mwenyeji wangu bahati nzuri akapokea nikamwambia naona hali yangu si nzuri, akaja fasta na gari, akashauri kuwa kwa vile ni usiku sana anipeleke tu health center ya binafsi ambayo si mbali sana kutoka hapo, kisha kama wataona umuhimu wa kutoa rufaa kwenda hospitali ya juu zaidi ndo twende, nikasema, sawa haina shida.
Aka drive hadi hapo health center, nikashuka nikaingia mapokezi nikaandikisha jina vizuri, nikaingia kwa daktari.
Kufika kwa daktari, akaniuliza shida nikampa historia yangu vizuri kabisa, sasa cha kushangaza yaani yule daktari hata kunifanyia physical examination hakutaka!! Yaani nampa dalili za moyo kwenda mbio, kifua kubana ila yeye hata kusema asikilize mapigo ya moyo, asikilize kifua (mapafu) kama hewa inaingia vizuri, asikilize pulse rate na rythym, wala!! Alichofanya tu alimuita nurse, akamwambia anipime presha, nikapimwa presha kwa automatic blood pressure machine. Karudia pale kama mara tatu, anapata readings tofauti tu hadi kachanganyikiwa achukue reading ipi. Yaani hata ugonjwa uliisha ghafla nikawa nawaza what is this? Ila ikabidi niwe mpole tu, maana sikutaka kujitambulisha kama daktari wala kujimwambafai. Baada ya nesi kuondoka, nikajua atanifanyia physical examination sasa asikilize hata kifua na mapigo ya moyo.Walaaaahhh hakuwaza kabisa!
Basi, akaandika vipimo vya lab pale, nikasubiri kidogo nikaja kutolewa damu,zikapelekwa maabara. Majibu yamerudi, nikaitwa tena kwa daktari, akaniambia majibu yangu na kuniandikia dawa za uongo na kweli. Nimetoka pale, hata pharmacy sikwenda, nikatoka nikamshtua jamaa yangu nikamwambia twende zetu, I was so disappointed hasa kwa sababu wakati yule daktari anajaza fomu yangu ya bima, niligundua kuwa kumbe ni MD kabisa (kwa maana ya kwamba ana shahada ya udaktari), yaani ndo nilichoka kabisa, maana mwanzoni nilidhani ana diploma tu (CO).
Tumetoka pale tayari saa kumi na moja alfajiri, jamaa akanirudisha tu home ila niliwaza sana aisee, kama MD ndo anakua hivyo, nikasema tuna shida kubwa sana nchini.
Ndio maana kila siku naona nyuzi humu madaktari tunatukanwa, aisee kumbe we deserve it kama madaktari wenyewe ndo sampuli ile niliyokuta pale. Waalimu mliopo vyuo vya udaktari mnawaandaaje hawa vijana huko vyuoni aisee? Daktari gani, a whole MD unakua hovyo hivyo?
We are doomed kwa kweli.
Ilibidi tu kulipokucha nicheki na jamaa yangu cardiologist yupo hospitali fulani ya rufaa ya zonal nikaenda pale kutibiwa, naendelea fresh now.
I am not saying kuwa I expected pale nifanyiwe vipimo vya hali ya juu vya moyo labda, no..!! ila daktari unapata mtu ana complain moyo unaenda mbio na kifua kizito, hata kumsikiliza moyo haumsikilizi, hausikilizi sauti za kwenye mapafu, hau palpate hata pulse..?? A whole MD?
We are doomed.
kuna interview kasema PE? au vita ni vita mura?Mimi kanichosha daktari wa Membe, Dr Nyagori. Kasema on live TV marehemu kafa na Pulmonary Embolism iliyosababishwa na virusi. Toka lini cardiovascular case kama PE ikasababishwa na kirusi wakati inajulikana inasababishwa na DVT blood clots za miguuni 95% of the times na hizo 5% zilizobaki hakuna kirusi kinachohusika?? Na anajiita Profesa tena. Na yeye yuko Muhimbili, Membe alipelekwa Kairuki, amepata wapi hayo ma diagnosis feki ?
kuna interview kasema PE? au vita ni vita mura?
Pole sana kwahyo walikuta shida kwenye figo?Mkuu mimi kila miezi 6 nafanya physical checkup, sasa nikaenda hospital tofauti safari hii. Kupima wakasema mkojo mchafu nikauliza kwanini mkojo mchafu wakasema kunywa maji mengi. Na wakanipa madawa nikatumia yale madawa ya kawa yananizidi nguvu wiki 2 sijatoka ndani. Nikaanza kufanya ganzi mkono mara ganzi ya mguu sijui kiuno kimeganda. Nikaona acha nitoke nje ya nchi nimekwenda huko nimeambiwa nina protein nyingi kwenye mkojo, kwahio niangaliwe liver na kidney naam hilo ndio lilikuwa tatizo. Lakini huku nyumbani nimeambiwa mkojo mchafu tena ninywe maji tu