Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
Wana JF nimesikia kupitia magazetini kwamba madaktari kadhaa toka India (Apollo) waliwasili nchini jana kwa ajili ya kutoa matibabu bure kwa wananchi wa nchii hii. Lakini pia nimesikia Waziri Mkuu Mstaafu Mh. Ndg. Cleopa David Msuya naye jana amepanda pipa kwenda ng'ambo kwa matibabu!! Kwa maana hiyo basi wakuu wetu takribani watano (ambao japo wanafahamika) wapo ng'ambo kwa matibabu:
Kama hao madaktari bingwa wamekuja si wangewatibu hapahapa ya nini wansiasa wetu kuishia India? Huduma za afya hapa nchini ziko taabani kiasi hicho?
- Mwandosya
- Mwakyembe
- Chami
- Zitto
- Msuya
Kama hao madaktari bingwa wamekuja si wangewatibu hapahapa ya nini wansiasa wetu kuishia India? Huduma za afya hapa nchini ziko taabani kiasi hicho?