Tyta
JF-Expert Member
- May 21, 2011
- 12,767
- 10,526
binafsi siamini katika hillo la kutuchungulia wanawake., mfano mdogo tu wewe unaumwa malaria iweje uambiwe panda kitandani uvue nguo na ukakubali? unless na wewe uwe una hamu ya kuchunguliwa. lakini kama umeenda una tatizo linalohusiana na viungo vy auzazi ukitakiwa kuvua nguo inaweza kuwa na uwiano, kwa hiyo tusiwakashifu bure madaktari
acha kufundisha wa2 kazi....however unakapoint kidogo hasa nikiangalia medic studentr we2 walivyo wakware