Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,288
lakini ukifuatilia vizuri daktari mwanaume akiamuru mwanamke avue nguo kwa ajili ya uchunguzi zaidi basi ni lazima muuguzi wa kike awepo,ila kama hatokuwepo basi huyo daktari ana lake jambo...hii ni kutokana na kanuni za maadili katika afya.je,wakati rafiki yako anavua nguo alikuwa na daktari pekee yake au na muuguzi? Hilo ndilo la kujiuliza
si wa siku hizi wengi wapuuzi wanamchokonoa mtu na madole yao mpaka unatembea kiupandeupande,,,aghrrrrrrrrr