madaktari kusitisha huduma za dharura

PINDA hana convicing power thats why hatukushangaa alivojiliza bungeni......PINDA ni sehemu ya tatizo.. PINDA ni mbunge wa jimbo.PINDA huyu huyu tena eti ni waziri mkuu wa TZ... PINDA huyu huyu ndo wale waliojiongezea miposho ya kufuru as if waTZ wengine hawaitaji fedha za posho...PINDA huyu huyu tena kwa kejeri ya kauwaziri mkuu eti ata hao wabunge wa upinzani ambao hawataki hizo posho ni wanafiki na wanazimezea mate ni kweli wanazimezea mate lakini hivi PINDA ata kwa akili ndogo tu hivi hukujua kwamba hizo posho zitakuja kuleta minung'uniko baina ya watanzania? what if na walimu nao wadai posho? what if wanajeshi nao wadai posho za laki mbili kwa siku? PINDA km kiongozi wa serikali bungeni kashindwa kuwashauri wabunge waone kua wote ni watanzania na wote ugumu wa maisha na gharama za maisha sio kwao tu...SO PINDA NDO CHANZO CHA HAYA MADUDU COZ AMEWAGAWANYA WATANZANIA KWAKUJIPENDELEA WAO KISA NA YEYE NI MBUNGE BILA YA KUJUA TANZANIA WABUNGE SIO MUHIMU KAMA WAFANYAKAZI BUNGENI......NACHUKIA UFISADI UNAOFANYWA NA WABUNGE NA ZAIDI NACHUKIA HIZO POSHO WABUNGE WANAZOLIPANA ATA KWA KULALA USINGIZI BUNGENI...MSITUGAWE WATANZANIA PESA NI TAMU KWA WOTE
 
Mi nasema hata kutokuweka tool down kwa huduma ya Emrgence ilikuwa ni ku-beep,nimeshangaa sana kuona mpaka sasa hamjasitisha huduma ya emergency.
Nasema tena suala la kuugua ni la kila mtu hata mimi naweza kuugua na sitibiwi India mimi ni humu humu tunasumkumana na hawa ma-dr wanaotishwa kwa dola leo.ila nawashauri mueendelee na mgomo hata tukifa dhambi hii na damu,roho za huruma kwa watakafiwa hazitawalilia nyinyi,ni wazi itakuwa ni kwa serikali ya CCM ndio iliyotufikisha hapa.bila kuwa na msimamo hatuwezi kuikoa nchi hii,nadhani iko haja sasa hata wananchi tuanze kuidai serikali huduma maana wanachukua kodi zetu.
Kazeni buti ma-dr,na hawa jamaa wameshaanza kutumia mbinu za kuzuia hata kukutana hivyo jipangeni upya ila mkizidiwa ombeni msaada,tutawapa mbinu za kufanya mikutano.
 
Ushauri wangu kwa ma Dr;

Kama hamtaripoti kazini basi msithubutu kukutana popote. Hivi natoka kugawiwa zana za kuwadhibiti na kutoka hapa naenda kukagua magari ya washawasha kama yamejaa vikolezo na kuhakikisha kuwa yako fiti.

Mkikusanyika tu, ...Mtashughulikiwa ipasavyo na hakuna hosp yenye Dr wa kuwapa angalau huduma ya 1.

Ni tahadhari tu..... msije kustukia imekula kwenu.
 
Ushauri wangu kwa ma Dr;

Kama hamtaripoti kazini basi msithubutu kukutana popote. Hivi natoka kugawiwa zana za kuwadhibiti na kutoka hapa naenda kukagua magari ya washawasha kama yamejaa vikolezo na kuhakikisha kuwa yako fiti.

Mkikusanyika tu, ...Mtashughulikiwa ipasavyo na hakuna hosp yenye Dr wa kuwapa angalau huduma ya 1.

Ni tahadhari tu..... msije kustukia imekula kwenu.
sasa daktari akifa au kuumia nani atamtibu mtanzania?mna maigizo nyie!haya bwana tusubiri kesho.
 
Ushauri wangu kwa ma Dr;

Kama hamtaripoti kazini basi msithubutu kukutana popote. Hivi natoka kugawiwa zana za kuwadhibiti na kutoka hapa naenda kukagua magari ya washawasha kama yamejaa vikolezo na kuhakikisha kuwa yako fiti.

Mkikusanyika tu, ...Mtashughulikiwa ipasavyo na hakuna hosp yenye Dr wa kuwapa angalau huduma ya 1.

Ni tahadhari tu..... msije kustukia imekula kwenu.

Chonde chonde! Ukipata ajali na gari lako la washwasha..utatibiwa na nani au utaenda India?

Serikali kwa kweli inatengeneza tatizo kubwa ambalo kujakulitatua itawagharimu zaidi ya hayo madai ya madokta.Ni rahisi kubomoa kuliko kujenga.Nina hakika, hata hili sakata likiisha, huduma zitazorota pasina mfano na kuja kurekebisha itakuwa ndoto!
 
pamoja sana tu. kitu nguvu mpya, ari mpya, ...... wao mbona wamepata nyongeza ya asilimia mia 2
 
Nadhani kuna haja pia ya sisi kuwa na logic sio kukurupuka tu..

Je ni kweli serikali walikubaliane na kila matakwa ya wadai Au (madaktari)
Je ni busara kuangalia ndugu yako akiangamia na kuteseka kwa sababu Mtu tu anadai madai yake ambayo ni nyongeza ktk kuhakikisha maisha yake yanaboresheka...

Lakini kubwa ni kwamba do we agree this kind of tradition iwe ndio utaratibu wetu watanzania iwe serikali inayotawaliwa na CCM Au CUF Au CHADEMA...

Je siku chadema nayo itakapochukua nchi Au CUF nao huu ndio uwe utaratibu wa kuubariki na kuusupport ????????

NADHANI
Tujadilini sasa ni kipi sahihi kukifanya ukizingatia kuwa fani ya udaktari ni WITO Zaidi kuliko biashara Kama wengi wetu tunavyofikiria.
 
Nadhani kuna haja pia ya sisi kuwa na logic sio kukurupuka tu..

Je ni kweli serikali walikubaliane na kila matakwa ya wadai Au (madaktari)
Je ni busara kuangalia ndugu yako akiangamia na kuteseka kwa sababu Mtu tu anadai madai yake ambayo ni nyongeza ktk kuhakikisha maisha yake yanaboresheka...

Lakini kubwa ni kwamba do we agree this kind of tradition iwe ndio utaratibu wetu watanzania iwe serikali inayotawaliwa na CCM Au CUF Au CHADEMA...

Je siku chadema nayo itakapochukua nchi Au CUF nao huu ndio uwe utaratibu wa kuubariki na kuusupport ????????

NADHANI
Tujadilini sasa ni kipi sahihi kukifanya ukizingatia kuwa fani ya udaktari ni WITO Zaidi kuliko biashara Kama wengi wetu tunavyofikiria.

Snitch!
Nimeikubali Id yako...
 
Back
Top Bottom