Madaktari 38 waondoka nchini

waJF jokes aside;

Mwaka jana alone, madaktari zaidi ya 30 waliondoka na cha kusikitisha zaidi wengine ni wale waliokua wamemaliza tu post graduates course muhimu kabisa kwa nchi, vijana na wenye vision... one time nilikutana na three doctors kwenye ndege moja na kila mmoja alisema hatarajii kiurudi hadi hali ibadilike, na nionavyo mimi hakuna changes... kibaya zaidi wanaoondoka ni wale wenye unique talents

we are losing doctors in high numbers and i am worried kama serikali haitachukua uamuzi wa haraka, nchi inaweza kupoteza hata 1000 drs in the next 12 months kwasababu kazi zao zipo kila kona na hasa kwenye hii dunia ya development funds

Tutaishia kuwasomesha na kuwanyanyasa, kwa ajili ya matumizi ya wengine ...
Sijui hii ni principle ipi kwenye "uwekezaji"
Tutavuna tulichopanda.
 
Familia zao hazitakula maneno ya "udaktari ni wito" bali net income iingiayo kila mwisho wa mwezi kama mshahara, acha waende wakatafute greener pasture
wanapoenda dukani kununua mahitaji hakuna anayewapa "ruzuku"
Wanapotakiwa kulipa kodi za nyumba hakuna anayejitolea kuwahifadhi bure
Wanapotakiwa kusomesha watoto wao, hakuna ruzuku ya daktari!
 
Kama madai yao yakiridhiwa, Dr atapata 7m kwa mwezi ikiwa ni mshahara na allowance na hii itafanya 2/3 ya pesa yote kwa ajiri ya mishahara ya watumishi wa umma iende kwa madaktari. Hii kitu haiwezekani. NUKUU YA WAZIRI PINDA.

hahahaaaaaaaaaaaaaa, wamefanya analysis ya allowances wanazopeana kutwa kucha?? upuuzi wa yale maVX/V8? ujinga wa kila aina?? vipi EPA na DOWANS?? hizo zote si pesa, au efficiency only comes when doctors demand their rights?
 
hahahaaaaaaaaaaaaaa, wamefanya analysis ya allowances wanazopeana kutwa kucha?? upuuzi wa yale maVX/V8? ujinga wa kila aina?? vipi EPA na DOWANS?? hizo zote si pesa, au efficiency only comes when doctors demand their rights?

Hivi, waheshimiwa wataacha kupokea allowances kwenye mikutano na asasi za kiraia, donors na wengine wanaoenda Dodoma kila vikao vya Bunge vikiendelea au ?
330,000/= jumlisha na hizo allowances nyingine...mhhh! Ubunge unalipa asikuambie mtu!
 
how sure you are to resemble the greatest Preacher with a tortoise au kwa sababu amekaa kimya acha dharau wewe........... be honest image if it would be your father.
 
Leo BBC mama mmoja aliekua anahojiwa alisema haya kwa machungu '' PINDA kawaambia madakitari kua wasiporudi kazini watakua wamejifukuza kazi wenyewe, akahoji serikali yenyewe yenye madudu chungu nzima imefukuzwa na nani?" Madkitari ata km ni RWANDA kuna kazi muda ni huu endendeni popote ulimwenguni mkafanye kazi
 
Nilipokua chuo nchi za ughaibuni nilishuhudia registered nurse aliyehitimu Mhimbili akakimbilia nchi za majuu na huko ajira aliyopata ni bora kwani kwa mwaka anatengeneza kati ya $35,000 -$55,000
 
wana JF tokea mgomo utokee mpaka sasa Dr 37 wameondoka na nilikua naongea na dr mmoja nae passport kaikamata na kutimiza idadi ya 38.

Source: daktari niliyekua naongea nae hapa uhamiaji . Anasema tropical doctors wanahitajika na nchi za kitropical na wao wanapeana habari watazidi kuondoka wengi

Hivi kuwa na passport bongo bado ni anasa?Daktari hana passport yaani mpaka itokee dharula ndiyo anaanza kujaza fomu kuomba passport,duh!
Back to the topic:Hongereni kwa kupata kazi katika nchi zinazojali taaluma ya udaktari
 
Kwakuwa kazi ya udaktari ni wito, basi nao wameamua kuitikia wito wa nchi zinazowahitaji.

Ngoja sisi tuendelee na siasa zetu za blandina nyoni, hadji mponda na mizengwe pinda, kwakuwa ndizo tunazoweza!!
Yap,ni wakati wa ng'ombe kujua thamani ya mkia wake uliokatika.
 
[FONT=times
new roman]hivi hapa najiuliza swali moja, mtu aliyechukua mkopo
kusoma alafu akajaribu kudai haki zake Mh. Pinda akamfukuza kazi na
akaondoka nchini, ni nani anawajibika kulipa huo mkopo!?
[/FONT]
Mh. Pinda
 
Mnaeneza FITINA ambayo ni kazi ya IBILISI na ADVOCATES wake!!!! Nawapa HEKO waliorudi kazini kuendeleza Taifa TANZANIA
 
Na sijui huyo mheshimiwa wa Davos atabwabwaja nini kuhusu suala la madaktari. Simply like that you train skilled labour expensivelly then you release it cheaply to other country! Goosh!!
 
Wakichoka watarudi hii ndio faida ya soko huria..

Mimi ningefurahi kama wangeungana wakaanzisha hospitali zao wenyewe washindane na za serikali..lol

Kumbe wanaenda kuajiriwa tena??

There is very thin differences kati ya waajiri duniani; tabia zao ni same ..popote duniani
 
hivi hapa najiuliza swali moja, mtu aliyechukua mkopo kusoma alafu akajaribu kudai haki zake mh. Pinda akamfukuza kazi na akaondoka nchini, ni nani anawajibika kulipa huo mkopo!?


mbona jibu rahisi si pinda...

 
Watz 2chutame 2pige magoti, 2funge, 2sali ucku na mchana kwa ajili ya taifa le2!MOYO WANGU UMEUMIZWA NA HILI!Wherever u r God plz here our players!
 
Hakika ni sikitiko kubwa kwa walalahoi wote ambao tegemeo letu pekee ni hizi hizi hospitali zetu ni hizi hizi hapa nchini; Hospitali Apollo India tupelekwe na akina sisi huku tutambe????????

Watz 2chutame 2pige magoti, 2funge, 2sali ucku na mchana kwa ajili ya taifa le2!MOYO WANGU UMEUMIZWA NA HILI!Wherever u r God plz here our players!
 
Back
Top Bottom