Kiby
JF-Expert Member
- Nov 16, 2009
- 6,899
- 4,623
aaah! ni kweli mkuu? sasa mbona tumesikia kikwete amesaini posho za wabunge kabla ya kuongea na madaktari??ni kweli haya>?hii serikali mbona inatuchanganya
.
Amefanya hivyo katika kipindi hiki kama rushwa kwa wabunge, ili wapoteze ujasiri wa kuihukumu serikali. Nani asiejua kuwa jamaa kilichomwezesha kufika hapo alipo ni usanii?
.