Madai ya Janeth Shayo, Mkazi wa Uru, Moshi, kutosikilizwa

Kila la heri, mkiona nimechelewa, ni kutoona mapema tu. Hata hivyo, daima nikiona nitasema lile neno ambalo naamini ndiyo lenyewe. Tunajenga pamoja, ahsanteni sana kwa ushirikiano

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Usijali nitakuwa nakutag nikiona hoja inayokuhusu. I hope unaendelea vyema na ujenzi wa Taifa. Sisi tupo nasi tunajenga kwa namna yetu na wengine wanapaka rangi n.k ila pia wapo wabomoaji. Kama kawaida. Hawakosekani.

tuipende nchi zaidi kuliko kitu kingine chochote.
 
Imetolewa taarifa hapa Jf hoja mchanganyiko na anayejitambulisha kama Anonymous kuwa: mtajwa hapo juu sikumsikiliza alipokuja mara ya pili kwamba amekwama kwenye mfumo wa huduma dawati la jinsia.

Kwanza napongeza watoa taarifa za kijamii pale penye changamoto za kijamii ambazo, zimekwama hatua moja au nyingine na jamii inahitaji msaada.

HATA HIVYO, naomba kuweka taarifa ya ufafanuzi kuwa, sijawahi kuongea na mlalamikaji kwa simu na wala huwa situmii huduma ya kuongea kwa simu kwa yeyote yule bali huduma ya kuandika ujumbe Ili nibaki na kumbukumbu na ndiyo nilitangaza hivyo.

Nimemuomba mlalamikaji hizo namba ambazo alizipigia baada ya yeye kukanusha pia kuwa hakuongea na mimi, tangu asubuhi hadi sasa jioni nasubiri. Uzuri Nina Imani mifumo ya simu za kuongea inatunza kumbukumbu, hivyo sitarajii nikanushe halafu kumbukumbu ziseme niliongea naye.

Huenda aliongea na namba za call center au namba za madawati ya Jinsia eneo husika, ambapo, tangu asubuhi nimeomba anitumie kumbukumbu husika, bado hajanipatia.

Aidha, kwa taarifa zaidi kuhusu shauri hili ni namba
MOS/IR/1950/2024 KIFO CHA MASHAKA ambapo, Watuhumiwa 5 wamekamatwa na Polisi kwa mahojiano (taarifa ya Polisi imeambatishwa hapa chini kwa rejea sn 3).

WITO WANGU; Watoa taarifa za jamii pamoja na pongezi kwa kazi kubwa mnayofanya, vema muwe mnachukua taarifa pande zote siyo moja (strike a balance). Vinginevyo tutayumbisha mshikamano wa pamoja katika kupambana na matukio haya.

Ahsanteni sana, mbarikiwe wote, Kila mmoja kwa kadri alivyochangia.View attachment 2935559View attachment 2935560

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app


Watoa taarifa za jamii, nyie toeni tu inavyowezekana tutajua huko mbele ukweli, hakuna mda wa kuhoji upande wa pili, hiyo watafanya wachunguzi, sio sahihi kuwapa ugumu hawa whistles blower wasije kata tamaa.
 
Sijaona maelezo yoyote kuonyesha hatua ambazo umechukua Kama waziri mwenye zamana.

Hayo ya polisi ni wizara nyingine, nilitamani kusikia kwamba umetuma timu ya wataaalam kutoka wizarani kwenda kufuatilia suala hili au/na kushirikiana na jeshi la polisi

Sijaona maelezo yoyote kuonyesha hatua ambazo umechukua Kama waziri mwenye zamana.

Hayo ya polisi ni wizara nyingine, nilitamani kusikia kwamba umetuma timu ya wataaalam kutoka wizarani kwenda kufuatilia suala hili au/na kushirikiana na jeshi la polisi.
Akili zako ni ndogo, pia utasema kwanini hao watuhumiwa waziri asiwahoji yeye.🙄🙄🙄
 
Usijali nitakuwa nakutag nikiona hoja inayokuhusu. I hope unaendelea vyema na ujenzi wa Taifa. Sisi tupo nasi tunajenga kwa namna yetu na wengine wanapaka rangi n.k ila pia wapo wabomoaji. Kama kawaida. Hawakosekani.

tuipende nchi zaidi kuliko kitu kingine chochote.
Ubarikiwe

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
 
Mimi jambo likisingiziwa kwenye kazi ambayo Naamini nimefanya, nitajitetea mwenyewe kwa data. Sitaki hata kujipa stress. Yaani kazi ifanyike mwingine aje apindue apoteze wengine. Haikubaliki. Au ww unaonaje ndugu yangu

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Nakupongeza na mupenda pro active response zako Mh Waziri DG...Mungu akubariki...pia napenda uki panic na kujibu kwa jazba ...unaongea kwa speed sana....nakufuatilia sana ...uzuri nakukumbuka tangu ukiwa Daktari...huko mawilayani.....hongera !
 
Watoa taarifa za jamii, nyie toeni tu inavyowezekana tutajua huko mbele ukweli, hakuna mda wa kuhoji upande wa pili, hiyo watafanya wachunguzi, sio sahihi kuwapa ugumu hawa whistles blower wasije kata tamaa.
Whistle blowers haijengwi kwa dhana hiyo, kama tutaendelea hivi na mtu apotoshe halafu tuanze ufafanuzi, basi hata heshima ya huo u whistle blower nayo itashuka. Na pia kupoteza muda wa kufanya ufafanuzi badala ya hatua. Ushirikiano mzuri ni ule kwamba, tunafanya pamoja, Nina hili hapa kwa Nia njema niulize team Player mwenzangu. Anyway ni ushauri tu kwani kwa mtu mwingine kusingiziwa jambo pia naye anazo haki za kuchukua hatua za kisheria. Hii ni kwa faida ya umoja wetu tu nimeona nitoe hili neno.

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
 
Hili nenda nalo taratibu na kwa umakini mkubwa Mkuu.

Halafu huyu muathirika wa hili wala msimsumbue saana (mwajua ukifiwa hali inakuwaje), nadhani ni vyema uongozi wa shule na dawati la jinsia wahojiwe zaidi.

Unaweza sema hakupi namba hakupi namba kumbe Kuna vitisho anavipokea kule alipo.

Wachana na habari ya kusubiri hizo namba ukiwa umeketi kwenye kiti na simu mkononi, weka utaratibu mzuri wa kufuatilia hili kuupata ukweli.
 
Imetolewa taarifa hapa Jf hoja mchanganyiko na anayejitambulisha kama Anonymous kuwa: mtajwa hapo juu sikumsikiliza alipokuja mara ya pili kwamba amekwama kwenye mfumo wa huduma dawati la jinsia.

Kwanza napongeza watoa taarifa za kijamii pale penye changamoto za kijamii ambazo, zimekwama hatua moja au nyingine na jamii inahitaji msaada.

HATA HIVYO, naomba kuweka taarifa ya ufafanuzi kuwa, sijawahi kuongea na mlalamikaji kwa simu na wala huwa situmii huduma ya kuongea kwa simu kwa yeyote yule bali huduma ya kuandika ujumbe Ili nibaki na kumbukumbu na ndiyo nilitangaza hivyo.

Nimemuomba mlalamikaji hizo namba ambazo alizipigia baada ya yeye kukanusha pia kuwa hakuongea na mimi, tangu asubuhi hadi sasa jioni nasubiri. Uzuri Nina Imani mifumo ya simu za kuongea inatunza kumbukumbu, hivyo sitarajii nikanushe halafu kumbukumbu ziseme niliongea naye.

Huenda aliongea na namba za call center au namba za madawati ya Jinsia eneo husika, ambapo, tangu asubuhi nimeomba anitumie kumbukumbu husika, bado hajanipatia.

Aidha, kwa taarifa zaidi kuhusu shauri hili ni namba
MOS/IR/1950/2024 KIFO CHA MASHAKA ambapo, Watuhumiwa 5 wamekamatwa na Polisi kwa mahojiano (taarifa ya Polisi imeambatishwa hapa chini kwa rejea sn 3).

WITO WANGU; Watoa taarifa za jamii pamoja na pongezi kwa kazi kubwa mnayofanya, vema muwe mnachukua taarifa pande zote siyo moja (strike a balance). Vinginevyo tutayumbisha mshikamano wa pamoja katika kupambana na matukio haya.

Ahsanteni sana, mbarikiwe wote, Kila mmoja kwa kadri alivyochangia.View attachment 2935559View attachment 2935560

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
WITO WANGU; Watoa taarifa za jamii pamoja na pongezi kwa kazi kubwa mnayofanya, vema muwe mnachukua taarifa pande zote siyo moja (strike a balance). Vinginevyo tutayumbisha mshikamano wa pamoja katika kupambana na matukio haya.
 
Back
Top Bottom