mwita ke mwita
JF-Expert Member
- Aug 13, 2010
- 7,848
- 3,483
Anyway tuache kubishana about CPA na ACCA let us focus On issues sio ujanja ,remember professional bevavior na due care, tusiweke majibizano uchwara yanayoweza kuondoa reputation ya professional kwani thread hii hata watu wa BA.kiswazi wanaweza pitia kujua kunani