Mada: Fahamu mambo mbalimbali kuhusu gari aina ya Subaru Forester

Hiyo imetumika bóngo!?
hii hapa ya 1998, 9.3M

1998 Forester.jpg


2002, 12.6M
2002 Forester.jpg
 
All in all Subaru ni gari makini sana. Haitaki mafuta ya kuunga unga. Ni gari ambayo kama kweli we ni mpenzi wa magari unapaswa kuwa nayo. Handle with care and it will NEVER disappoint you. Kuna jimbo moja Marekani (nimelisahau) polisi wake wanatumia Subaru kukimbizia wahalifu wa barabarani.

Hiyo gari ni makini sana. Ukitembelea kwenye page ya subaru you tube utakuta wameelezea kwa uhalisia technicalities zao kwa nini wanatumia technology wanayotumia na faida zake. Boxer engine is their one among many tech wanazotumia na ni engine bora sana kwa sasa kwenye ulimwengu wa magari
 
Subaru's are for people who love cars,people who understand the beauty of perfomance.may be the reason kenyans buy more subarus than we do here in TZ-kenyans are ahead of us education wise and development wise.

I suggest you buy that car and you will never be dissapointed!kuna watu wako tayari kununua Toyota kwa sababu spea bei rahisi,what is the use of a cheap spare part if you need to change it every 3 months?

kwa wanamahesabu,ipi rahisi over time?15,000tshs spare that u will buy 4 times a year or a 35,000tshs that you will buy only once a year?go figure.

anyways,watanzania wachache sana wanapiga hesabu in long term figures,no wonder tuko tayari kununua saa feki 10 kila mwaka for 20,000 lakini ukimwambia mtu atumie 200,000 kununua saa original atakayokaa nayo miaka 10 unakuwa ugomvi.

Hapo nakuunga mkono asilimia 100. watanzania wengi wanaangalia gharama ya mwanzo, na bila kujali gharama zitakazokuja baada yake.

Nakumbuka mwaka jana niliagiza Carina Ti, niliendesha miezi miwili nikaenda kubadilisha tyrod na ball joints, tangu siku hio nikasema sitanunua toyota tena. Toyota kwa tanzania ni ugonjwa wa moyo, kila unapopark unakuwa roho juu, mpaka watu wanaishia kujaza maribit, na mavyuma kibao kuzuia wezi.

Nilikuwa na Mazda MPV, nalipark popote na hata vioo sikuandika namba....Nilitumia mwaka mzima, sikuwahi kubadili hata kifaa kimoja... Same applies to Nissan Cars...Kubadili spare ni historia.

Speaking of Saa za bei ghali, mwaka 2006 Nilinunua ESPRIT watch kwa bei ya ajabu, lakini hadi leo ninayo hiyo saa na haina scratch hata moja na nimebadili battery mara moja tu almost miaka mitatu iliyopita...
CHEAP IS EXPENSIVE.
 
Habari zenu wana JF. Nina dream za kununua gari aina ya Subaru Forester nimetokea kuipenda sana gari hii.

Msaada wa ushauri toka kwenu ni kwamba nahitaji kujua gari inatumia Lita 1/how many Kms, spare parts zinapatikana kiurahisi, Nini umadhubuti wake, ni vipuri gani huwa vinasumbua mara kwa mara na vinapatikana?

Kwa heshima na taadhima naomba msaada wenu ndg zangu
 
Gari nzuri kama huwazi km/l, spea ni gali kama umezoea kunua za corola, kama mtu wa tungi achana nayo kwani "used parts" zake ni gali.
 
Habari zenu wana JF. Nina dream za kununua gari aina ya Subaru Forester nimetokea kuipenda sana gari hii. Msaada wa ushauri toka kwenu ni kwamba nahitaji kujua gari inatumia Lita 1/how many Kms, spare parts zinapatikana kiurahisi, Nini umadhubuti wake, ni vipuri gani huwa vinasumbua mara kwa mara na vinapatikana? Kwa heshima na taadhima naomba msaada wenu ndg zangu
CYBERTEQ OLESAIDIMU Kaizer MANI mnahitajika huku...
 
Last edited by a moderator:
Ka gari hiyo inabidi asiwaze mafuta maana sio economy kwa watu wa hali ya chini..sema ina turbo charger na maspeed ya kufa mtu so barabarani huonewi. Spare parts zipo za kumwaga na ukifunga ndo unasahau sio kama corolla ila pia ni bei ghali kidogo.

Kiufupi kwa mtu mwenye kipato cha kueleweka haimsumbui. RRONDO nimekuja kiongozi
 
Last edited by a moderator:
Ka gari hiyo inabidi asiwaze mafuta maana sio economy kwa watu wa hali ya chini..sema ina turbo charger na maspeed ya kufa mtu so barabarani huonewi. Spare parts zipo za kumwaga na ukifunga ndo unasahau sio kama corolla ila pia ni bei ghali kidogo. Kiufupi kwa mtu mwenye kipato cha kueleweka haimsumbui. RRONDO nimekuja kiongozi

asante kaka nilijua mkija hapa mwenzetu huyu atapata ushauri makini,kazi kwake.
 
Ka gari hiyo inabidi asiwaze mafuta maana sio economy kwa watu wa hali ya chini..sema ina turbo charger na maspeed ya kufa mtu so barabarani huonewi. Spare parts zipo za kumwaga na ukifunga ndo unasahau sio kama corolla ila pia ni bei ghali kidogo. Kiufupi kwa mtu mwenye kipato cha kueleweka haimsumbui. RRONDO nimekuja kiongozi
Asante brother kaizer ushauri nimeupenda sana
 
Last edited by a moderator:
RRONDO nimekusikia kaka!!!!

Mengi yamesemwa na wadau tayari, ni gari haswa kama "anaiweza" spea kwa sasa ni nyingi sana na mafundi wapo!!!!!

Kama nakumbuka vizuri kwenye facebook wana group ya subaru fans kama sio owners so huko anaweza kupata mengi zaid kwa experience ya waliozitumia!!!!!

Ila najua perfomance yake ni baab kubwa sababu nimeshakutana nazo road na kwa kweli nilikubali mziki wake!!!!
 
Last edited by a moderator:
Ndugu i have this car kwa muda wa wiki tatu sasa ni very comfy, na spare zipo tu hata mwenge pale eg. Oil filter yake nimenunua 8000/- na vitu vingine sio ghali kiivo! Pia mafuta sio mbaya sana though yangu ni non turbo charger! From dar to iringa around 500km nimetumia less that 45ltrs! Jus try it its real comfidence in motion


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Poa kaka hiyo ni model ya 2005 ila hata 2004 si mbaya


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Back
Top Bottom