Kiteitei JF-Expert Member Jan 14, 2009 1,587 1,523 Jun 9, 2014 #101 Khaaa!!! Mkuu kama hiyo ni sumu basi uking'ata nyoka lazima afe!!hivi kabla ya kutoa hiyo sumu mbu walikuwa wanathubutu kukusogelea kweli!!!???
Khaaa!!! Mkuu kama hiyo ni sumu basi uking'ata nyoka lazima afe!!hivi kabla ya kutoa hiyo sumu mbu walikuwa wanathubutu kukusogelea kweli!!!???
Lekolele New Member Sep 12, 2016 2 0 Sep 13, 2016 #103 Habar wanandg hiv kunayo kifaa ambacho kinatoa sumu mwilini na inaitwaje
Vupu JF-Expert Member Aug 1, 2016 1,769 1,245 Sep 14, 2016 #104 Mamndenyi said: Haya soma hapa (1) Tumia sana juisi ya rozella (2) Tumia sana asali (3) Tumia sana mdalasini (4) Tumia sana kitunguu saumu kilichosangwa. Nawasilisha. Click to expand... Safi
Mamndenyi said: Haya soma hapa (1) Tumia sana juisi ya rozella (2) Tumia sana asali (3) Tumia sana mdalasini (4) Tumia sana kitunguu saumu kilichosangwa. Nawasilisha. Click to expand... Safi