Machine za kutoa sumu mwilini

BABAPAMA

Member
Nov 19, 2010
13
1
Habari Wanajamii!
Pengine hii mada ilishawahi kupewa maelekezo hapa ukumbini ila kwa ugeni wangu mnivumilie kwa swali hili! Jana nilipata wasaa wa kushuhudia watu wanatibiwa kwa kutolewa sumu mwilini hii ikiwa ni pamoja na mafuta, metals, na sumu nyingine zisizostahiri kuwepo ndani ya mwili wa binadamu!

Sikuweza kupata jina la machine hizo ila ninauhakika zimetapakaa sehemu nyingi tu za DSM! Naomba kufahamishwa juu ya hizi machine zinazodaiwa kuwa zinatoa sumu mwilini kama zinafahamika kitabibu au ndio yaleyale yakimagumashi?

Naomba msaada tafadhari kwa anayefahamu! Natanguliza Shukrani!
 
Habari Wanajamii!
Pengine hii mada ilishawahi kupewa maelekezo hapa ukumbini ila kwa ugeni wangu mnivumilie kwa swali hili! Jana nilipata wasaa wa kushuhudia watu wanatibiwa kwa kutolewa sumu mwilini hii ikiwa ni pamoja na mafuta, metals, na sumu nyingine zisizostahiri kuwepo ndani ya mwili wa binadamu! sikuweza kupata jina la machine hizo ila ninauhakika zimetapakaa sehemu nyingi tu za DSM! Naomba kufahamishwa juu ya hizi machine zinazodaiwa kuwa zinatoa sumu mwilini kama zinafahamika kitabibu au ndio yaleyale yakimagumashi? naomba msaada tafadhari kwa anayefahamu! Natanguliza Shukrani!

baba pama!! Hii kitu nilisimuliwa tu, nikajua ni utapeli 100%. Eti unaweka miguu kwenye karai lenye maji halafu unaona damu na ucahfu mwingine anaambiwa hiyo ni sumu imetoka mwilini mwako, Malipo 50,000. Hii haipo baba, kama una peasa za mchezo bora uwasaidie wale wenzetu waliopata maafa kule Gongo la Mboto.
 
baba pama!! Hii kitu nilisimuliwa tu, nikajua ni utapeli 100%. Eti unaweka miguu kwenye karai lenye maji halafu unaona damu na ucahfu mwingine anaambiwa hiyo ni sumu imetoka mwilini mwako, Malipo 50,000. Hii haipo baba, kama una peasa za mchezo bora uwasaidie wale wenzetu waliopata maafa kule Gongo la Mboto.

Hii kiboko !
 
jamani nimetolewa sumu kwa mashine hyo lakini ainipi akilini mwangu kabisa unafungwa belt kiunoni karibia na kitovu, alafu unatumbuliza miguu kwenye karai la maji wanaweka na chumvi eti inasaidia kuzibua matundu kwenye nyayo kisha wanatumbukiza kidude fulani kwenye maji ambacho kinachemka uku belt ulowekewa tumboni inapata joto la wastani wanasema eti ndio inalainisha sumu kweli nilimaliza nusu saa na maji yalibadilika rangi kiasi hofu yangu nahisi kile kidude wanachoweka kwenye maji ndicho kinachotengeneza huo uchafu unaoitwa sumu kwani kinavyochemka ndivyo maji yanavyobadilika na uchafu autoki miguuni kwako nilipouliza nikajibiwa hicho ndio kinavuta sumu
 
habari jf members
nimekutana na daktari wa tiba za asilia mfano; dr. Ndodi, dr. Kibona etc, katika broshua zao mbali na kutibu magonjwa mengine wanasema wanadawa ya kuondoa sumu mwilini. Jamani madaktari je kuna dawa inayosaidia kutoa sumu mwilini?? Dawa za kisasa au asilia?? Tujuzane jamani
ahsante in advance
 
Nenda pale maisha Bora eneo la Msasani karibu na Msasani shule ya msingi zinapogeuzia daladala kma upo Dar. Unapata huduma zote za kuweka mwili sawa hata ukitaka CT Scan ni TShs 15000-25000 tu.
Utapata hata huduma za kuondoa sumu
 
Haya soma hapa
(1) Tumia sana juisi ya rozella
(2) Tumia sana asali
(3) Tumia sana mdalasini
(4) Tumia sana kitunguu saumu kilichosangwa.
Nawasilisha.

Hapo kwenye red Mkuu:

Iwe mbichi lakini.

...na pia tunda bora zaidi kwa kutoa sumu mwilini nasikia ni Parachichi waweza jaribu uone!!!
 
Hapo kwenye red Mkuu:Iwe mbichi lakini....na pia tunda bora zaidi kwa kutoa sumu mwilini nasikia ni Parachichi waweza jaribu uone!!!
mkuu kumbe naishi na tiba mi maparachichi nilikuwa nawaachia mbwa wale chini ya mti yanapodongoka.
 
Ndio kuna dawa za kutoa sumu mwilini na wala usiwadharau akina dk. ndodi maana wanaotaka kujua udokta wamesomea wapi hawaumwi na wala hawana sumu kwenye miili yao kazi yao ni kukejeli na dharau mbele sijui wakienda kwenye hizo hospitali za kizungu kila aliyevaa overkoti jeupe ndio wanaamini kuwa ni dk, au pia wanauliza kuwa udokta wamesomea wapi kabla ya kupata tiba. Jali afya yako ndugu usiige kunya kwa tembo.

Ingekuwa kila dk anaulizwa ulikosomea tusingeoona hizi hospitali feki na madk feki wanaokula bani kila siku kwa kufungua hospitali za kidhungu zisizokuwa na wataalamu.
 
Sumu zinapishana mkuu, na dawa zinapishana vile vile ila dawa za kutoa sumu mwilini zipo. mbona ukiumwa na nyoka na upigwe antivenum unaamini inatoa sumu mwilini alafu ikiwa ya kienyeji unashindwa kuamini?
Ila tu kua makini, hakikisha unaenda kwa mganga alie jisajili kwa widhara ya afya. tatizo ya waganga wa asili hawajui ma doz vizuri na pia wanataka ku-link physiology na spiritism funali...
 
POISON :In the context of biology, poisons are substances that can cause disturbances to organisms,[SUP][1][/SUP] usually by chemical reaction or other activity on the molecular scale, when a sufficient quantity is absorbed by an organism. In medicine (particularly veterinary) and in zoology, a poison is often distinguished from a toxin and a venom. Toxins are poisons produced via some biological function in nature, and venoms are usually defined as biological toxins that are injected by a bite or sting to cause their effect, while other poisons are generally defined as substances which are absorbed through epithelial linings such as the skin or gut.
Some poisons are also toxins, usually referring to naturally produced substances, such as the bacterial proteins that cause tetanus and botulism. A distinction between the two terms is not always observed, even among scientists.
Animal toxins that are delivered subcutaneously (e.g. by sting or bite) are also called venom. In normal usage, a poisonous organism is one that is harmful to consume, but a venomous organism uses poison to defend itself while still alive. A single organism can be both venomous and poisonous.
The derivative forms "toxic" and "poisonous" are synonymous.
In nuclear physics, a poison is a substance that obstructs or inhibits a nuclear reaction. For an example, see nuclear poison.
Paracelsus, the father of toxicology, once wrote: "Everything is poison, there is poison in everything. Only the dose makes a thing not a poison." The term "poison" is often used colloquially to describe any harmful substance, particularly corrosive substances, carcinogens, mutagens, teratogens and harmful pollutants, and to exaggerate the dangers of chemicals. The legal definition of "poison" is stricter. A medical condition of poisoning can also be caused by substances that are not legally required to carry the label "poison".
Environmentally hazardous substances are not necessarily poisons and vice versa. For example, food industry wastewater - which may contain milk or potato juice - can be hazardous to the ecosystems of streams and rivers by consuming oxygen and causing eutrophication, but is nonhazardous to humans and not classified as a poison.Biological poisoning
Acute poisoning is exposure to a poison on one occasion or during a short period of time. Symptoms develop in close relation to the exposure. Absorption of a poison is necessary for systemic poisoning. In contrast, substances that destroy tissue but do not absorb, such as lye, are classified as corrosives rather than poisons. Furthermore, many common household medications are not labeled with skull and crossbones, although they can cause severe illness or even death. In the medical sense, poisoning can be caused by less dangerous substances than those receiving the legal classification of "poison".
Chronic poisoning is long-term repeated or continuous exposure to a poison where symptoms do not occur immediately or after each exposure. The patient gradually becomes ill, or becomes ill after a long latent period. Chronic poisoning most commonly occurs following exposure to poisons that bioaccumulate, or are biomagnified, such as mercury and lead.
Contact or absorption of poisons can cause rapid death or impairment. Agents that act on the nervous system can paralyze in seconds or less, and include both biologically derived neurotoxins and so-called nerve gases, which may be synthesized for warfare or industry.
Inhaled or ingested cyanide, used as a method of execution in gas chambers, almost instantly starves the body of energy by inhibiting the enzymes in mitochondria that make ATP. Intravenous injection of an unnaturally high concentration of potassium chloride, such as in the execution of prisoners in parts of the United States, quickly stops the heart by eliminating the cell potential necessary for muscle contraction.
Most biocides, including pesticides, are created to act as poisons to target organisms, although acute or less observable chronic poisoning can also occur in non-target organism, including the humans who apply the biocides and other beneficial organisms. For example, the herbicide 2,4-D imitates the action of a plant hormone, to the effect that the lethal toxicity is specific to plants. Indeed, 2,4-D is not a poison, but classified as "harmful" (EU).
Many substances regarded as poisons are toxic only indirectly, by toxication. An example is "wood alcohol" or methanol, which is not poisonous itself, but is chemically converted to toxic formaldehyde and formic acid in the liver. Many drug molecules are made toxic in the liver, and the genetic variability of certain liver enzymes makes the toxicity of many compounds differ between individuals.
The study of the symptoms, mechanisms, treatment and diagnosis of biological poisoning is known as toxicology.
Exposure to radioactive substances can produce radiation poisoning, an unrelated phenomenon.Initial management
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom