Wanunuaji mbona siwaoni katika picha?Watoa huduma hawa...
Mgambo wa jiji la Dar es Salaam wakiwa katika zoezi la kuwakamata Madada wanaofanya biashara ya kuuza miili yao wajulikanao kama Machangudoa katika eneo la Sinza. Picha mbalimbali zikionyesha namna walivyokuwa wakipakiwa ndani ya Gari tayari kwa kupelekwa katika vyombo vya sheria
Twende ukanisaidie kuwakamata best..
ukiona biashara ya uchangudoa imeshamili ujue mji umekua....
Ningeshangaa nisingekukuta huku maana ndio zako
Hutaki au...!?? kwani Lady doctor nilimpata wapi!???