ComputersDAR
JF-Expert Member
- Jan 21, 2013
- 213
- 242
Wana JF salaam. Naombeni msaada tafadhali kwa yeyote mwenye uwezo na uwelewa ili kuipata Macbook Air yangu ambayo iliibiwa nyumbani Dar es Salaam mwishoni wa mwezi Aprili 2023. Bahati mbaya, sikufanya icloud “Find My” settings ili niweze ku track hii Macbook.
Macbook Air ina serial number FVFH51UKQ6L5. Rangi ni Space Gray. Mwizi aliiba na box lake. Niliinunua maduka ya Apple nje ya Mlimani City mwaka 2022 na warranty card ninayo kama ushahidi wa ununuzi.
Kwa yeyote atakayeweza kunipa taarifa ya kupatikana kwa hii Macbook, nitamlipa laki 5 cash. Mwenye taarifa anifuate DM. Asanteni
Macbook Air ina serial number FVFH51UKQ6L5. Rangi ni Space Gray. Mwizi aliiba na box lake. Niliinunua maduka ya Apple nje ya Mlimani City mwaka 2022 na warranty card ninayo kama ushahidi wa ununuzi.
Kwa yeyote atakayeweza kunipa taarifa ya kupatikana kwa hii Macbook, nitamlipa laki 5 cash. Mwenye taarifa anifuate DM. Asanteni