Alfred Daud Pigangoma
JF-Expert Member
- Mar 30, 2009
- 1,826
- 966
Wadau,
Kama mtakumbuka CHADEMA kwa sasa ipo katika hatua ya kuboresha shughuli za utendaji katika uongozi wa kanda kwa lengo la kurahisisha ushindi wa udiwani, ubunge na hatimae urais.
Leo timu ya CHADEMA kutoka makao makuu ikiongozwa na kamanda wa anga Mh. Freeman Mbowe wapo katika kanda ya Magharibi katika makao makuu yake yaliyopo Tabora.
Muda huu wajumbe wapo katika Baraza la Uongozi la Kanda hii ili kufanikisha zoezi hili.
Update....
Mwenyekiti Taifa Mh. Freeman Mbowe akitilia msisitizo masuala mbali mbali katika uboreshaji wa kanda.
Update.....
Kikao cha baraza la uongozi la kanda limemalizika sasa tunaelekea uwanja wa Town School....
Kama mtakumbuka CHADEMA kwa sasa ipo katika hatua ya kuboresha shughuli za utendaji katika uongozi wa kanda kwa lengo la kurahisisha ushindi wa udiwani, ubunge na hatimae urais.
Leo timu ya CHADEMA kutoka makao makuu ikiongozwa na kamanda wa anga Mh. Freeman Mbowe wapo katika kanda ya Magharibi katika makao makuu yake yaliyopo Tabora.
Muda huu wajumbe wapo katika Baraza la Uongozi la Kanda hii ili kufanikisha zoezi hili.
Update....
Mwenyekiti Taifa Mh. Freeman Mbowe akitilia msisitizo masuala mbali mbali katika uboreshaji wa kanda.
Update.....
Kikao cha baraza la uongozi la kanda limemalizika sasa tunaelekea uwanja wa Town School....