Tunamsiba lakini unazalishwa msiba mwingine! Mungu hata kama tumekosea, tuokoe waja wako!
Safi sana uamsho lianzisheni tu mpaka kieleweke'kuungana na li nchi lisilo na mila wala desturi ndio tabu yake hyo'mimi mbara pyua ila pia sipendi limuungano hili naomba kila siku life tu'
Mkuu Mgombezi.Habari nilizozipata muda huu kutoka kwa jamaa walioko huko, kwamba eneo la Darajani kumetokea vurugu na sasa hivi jeshi la polisi wanatuliza fujo kwa mabomu.
Dah
Uamsho wanataka nini ten a?
Kwani hapo walipo ni hawapo Zanzibar ?Wachukue Zanzibar yao
Hali si shwari, polisi Unguja waaza kupiga mabomu ya machozi kila kona ya Mji. Habari zaidi kufuata.
Mkuu Mgombezi.
Polisi wanatuliza fujo au polisi wameanzisha fujo?
Umesema kumetokea vurugu. Nani ameanzisha vurugu? Chanzo cha vurugu ni nini?
Hii serikali inawalea uamsho, bila shaka Al qaeda ana walilelewa hivi!!!!!