Kufuatia tukio la kuuawa mwanafunzi wa chuo cha uhasibu Arusha jana usiku, wanafunzi wameanzisha mgomo ambao umepeleka FFU kupelekwa chuoni hapo ambapo hadi sasa wanawatawanya wanafunzi hao kwa mabomu ya kutolea machozi.
Wanafunzi wanasisitiza serikali kuchukulia hatua madai yao ya usalama ambapo wamedai huwa wanaripoti polisi lakini hakuna kinachofanyika.
Mbunge Godbless Lema, mkuu wa chuo, Mkuu wa mkoa na OCD wako shuleni hapo kujaribu kupata suluhu ya suala hilo
Updates; mbunge Godbless Lema akamatwa baada ya kuonekana yupo upande wa wanafunzi hii ni baada ya Mkuu wa mkoa kutoa ahadi sawa na aliyowahi kuitoa yalipotokea mauaji kama hayo ambayo hadi leo majibu yake hayajatolewa
GAri ya mbunge wa Arusha Godbless Lema ikipelekwa kituo cha Polisi
Wanafunzi wanasisitiza serikali kuchukulia hatua madai yao ya usalama ambapo wamedai huwa wanaripoti polisi lakini hakuna kinachofanyika.
Mbunge Godbless Lema, mkuu wa chuo, Mkuu wa mkoa na OCD wako shuleni hapo kujaribu kupata suluhu ya suala hilo
Updates; mbunge Godbless Lema akamatwa baada ya kuonekana yupo upande wa wanafunzi hii ni baada ya Mkuu wa mkoa kutoa ahadi sawa na aliyowahi kuitoa yalipotokea mauaji kama hayo ambayo hadi leo majibu yake hayajatolewa
GAri ya mbunge wa Arusha Godbless Lema ikipelekwa kituo cha Polisi