Mabomu ya machozi yanarindima Kirumba Mwanza

Jamani wadau ,mwenye taarifa za mwanza juu ya fujo zilizotokea maeneo ya Kirumba na kusababisha mabomu n Risasi kumwagwa kuhusiana na Purukushani kati ya CCM na CHADEMA jioni hii .
Hebu atubwage kwenye tukio tupate habari kujua.
 
Back
Top Bottom