Nzagamba Yapi
Senior Member
- Sep 1, 2011
- 167
- 72
Nayashudia hapa niko mafichoni,uchaguzi wa madiwani kirumba,ni vita vya cdm na magamba,ntaendelea kuwapa updates,dk slaa yupo pia
wanalipua mabomu ili wapate upenyo wa kuiba na kukimbia na mabox ya kuraNayashudia hapa niko mafichoni,uchaguzi wa madiwani kirumba,ni vita vya cdm na magamba,ntaendelea kuwapa updates,dk slaa yupo pia
Chanzo nini mpaka mabomu yavurumishwe?
Wamemtukana Ben Mkapa kuwa ni mjinga na hana akili!
Hakika askari wetu ni condom zinazotumiwa na magamba na kutupwa!
habari yako mwita25?Maskini! Mungu saidia WANACHADEMA
habari yako mwita25?