habari yako mwita25?
Wamemtukana na han/QUOTE]
sasa tusi liko wapi hapo?
Kuambiwa ukweli siyo tusi mkuu
acha uongo!!!Wamemtukana Ben Mkapa kuwa ni mjinga na hana akili!
Hata walipue mabom lazma kieleweke
Endelea kutupa hbr,hatutaki MAGAMBA ktk uongoziNayashudia hapa niko mafichoni,uchaguzi wa madiwani kirumba,ni vita vya cdm na magamba,ntaendelea kuwapa updates,dk slaa yupo pia