Weeee!! Jaribu huko huko unakopatia mkono kwenda kinywani!!
Dogo zomba kawaambie tuko macho zaidi ya mjuavyo nyani weusi nyie!
kuna tatizo katika ubinaadamu wako,hauko sawa sawa.
....................na huyo aliyetumia Bastola atakuwa Rage, Kigwangalla, Bashe au askari wa Nyololo(CCM)Chadema hao!
hao wananchi wamefanya makosa sana, pale walipomuona wangemchinja kama kuku ndio watu wangejifunza matumizi ya silaha, haiwezekani masikini tuwe tunadungukiwa kama vile kunguru...nina hasira hapa huwezi amini...ningekuwepo huko nahisi pangechimbika.Duh! Ama kweli serikali tawala sasa ni dhahiri kabisa inaendeshwa ndivyo sivyo!
Mtu kaua tena aliyeuawa alikukimbilia na kukuomba msamaha halafu bado ukamtoa duniani tu! Na baada ya hilo bado uko huru baada ya masaa kadha ya tukio! Hakika huyu jamaa aliyesababisha hili hata naye kifo kinamstahili.
Hili alilotenda halikubaliki kamwe ktk jamii ya Watanzania
Ngoja tupate na maoni ya memberz!
Wewe ulikuwepo yote yakijiri au umehadithiwa tu, maana hiki kisa chako kimekaa kipaukwa pakawa, kimepambwa kumfanya mwendesha gari ni Shetani mmoja mbaya sana.
Visa namna hivi huwa siviamni mpaka niipate picha kamili, hii yako siiamini mpaka sasa, sijui baadae.
Duh! Ama kweli serikali tawala sasa ni dhahiri kabisa inaendeshwa ndivyo sivyo!
Mtu kaua tena aliyeuawa alikukimbilia na kukuomba msamaha halafu bado ukamtoa duniani tu! Na baada ya hilo bado uko huru baada ya masaa kadha ya tukio! Hakika huyu jamaa aliyesababisha hili hata naye kifo kinamstahili.
Hili alilotenda halikubaliki kamwe ktk jamii ya Watanzania!
Ngoja tupate na maoni ya memberz!
Nimeshtushwa na jamaa kumuua mwenzake.....!!!
Yaani anathamini gari kuliko utu...?
Mtu mpaka kaomba msamaha bado unamshuti dah!!!
Hela ya Afgem hiyo, na utakuta muuaji ni mgeni tu kaja juzi juzi arusha.
Nisamehewe lakini ntamlaumu sana Mheshimiwa Marehemu Solo Sumari (MB) R.I.P, yeye alipewa hii deal ya kuwapeleka vijana wa kimeru samax enzi hizo akaamua kuwatoa vijana wengine mikoani kwa rushwa. Leo hii wanashika hela ya vicherema kwa kaburu wanaua watu hovyo, wanadharau polisi sana sana traffics, uzinzi etc.
Leo wanaua, hii sio mara ya kwanza, wala ya pili.
Na cruiser zao zina vibandiko/peperushi vya CCM.
watasema ni chadema
Hela ya Afgem hiyo, na utakuta muuaji ni mgeni tu kaja juzi juzi arusha.
Nisamehewe lakini ntamlaumu sana Mheshimiwa Marehemu Solo Sumari (MB) R.I.P, yeye alipewa hii deal ya kuwapeleka vijana wa kimeru samax enzi hizo akaamua kuwatoa vijana wengine mikoani kwa rushwa. Leo hii wanashika hela ya vicherema kwa kaburu wanaua watu hovyo, wanadharau polisi sana sana traffics, uzinzi etc.
Leo wanaua, hii sio mara ya kwanza, wala ya pili.
Na cruiser zao zina vibandiko/peperushi vya CCM.
"Liwalo na Liwe"