sijui Gongo la mboto?
aisee hata mimi nasikia.ni kama maeneo ya kiwalani lakini nafikiri gogo la mboto.au ndo wanalipua masalia ya mabomu?kwa kuwa ni usiku hakuna uhakika lakini wahindi sijawahi kusikia wanalipua fataki saa sita usiku.mia
sasa kimiya
Hizi sio fataki aisee ni zaidi ya dakika ishirini sasa nipo Faya.
Nasikia kama milio hiyo imetulia hivi, sidhani kama ni fataki. Mwenye details atujuze ni kitu gani. Nipo kinondoni!