Gongo la mboto shwari,baharini kunani?????
Baharini
Baharini
Mi mwenyewe nhmesikia usingizi umekata kabisaMdau acha woga laleniiiiiiii
Mi mwenyewe nhmesikia usingizi umekata kabisa
Nipo cocobearch ni baharini
aisee ni kweli.wale jamaa wa kwenye meli wana tabia ya kuripu lipua mafataki,hasa zile meli ambazo zimepaki baharini kusubili foreni ya kuingia bandalini.hapo ukute ni bday ya nahodha tu.kova inabidi aifanyie kazi.wanaturusha roho.Ka nchi ketu kenyewe mabomu yake yalishajiozea hayakawii kulipuka.laleni.miaNipo cocobearch ni baharini
Tulale kwa Serikali gani unayoiamini wewe!? Mdau lala wewe!
fataki zimepigwa marufuku siku hizi na maduka yameacha kuuza baada yakukamatwa sana,sasa inabidi hao wa melini waambiwe hatutaki ugonjwa wa moyo tena.aisee ni kweli.wale jamaa wa kwenye meli wana tabia ya kuripu lipua mafataki,hasa zile meli ambazo zimepaki baharini kusubili foreni ya kuingia bandalini.hapo ukute ni bday ya nahodha tu.kova inabidi aifanyie kazi.wanaturusha roho.Ka nchi ketu kenyewe mabomu yake yalishajiozea hayakawii kulipuka.laleni.mia
halafu wewe si nishakutaftia nyumba mpwapwa. Hebu hama dar.Poleni wa dar, msije mkafa kwa presha kwa kuogopa mabomu.Hizi sio fataki aisee ni zaidi ya dakika ishirini sasa nipo Faya.
Mi mwenyewe nhmesikia usingizi umekata kabisa
mi nimehama huko dar, nipo mbugani selous, hakuna kambi ya jeshi wala polisi huku,
Nakuja mwaya mjini vurugu zimezidi.halafu wewe si nishakutaftia nyumba mpwapwa. Hebu hama dar.Poleni wa dar, msije mkafa kwa presha kwa kuogopa mabomu.
nipo stand nakusubiri.Nakuja mwaya mjini vurugu zimezidi.
Masifa, naona umevuta rire jani ra kure kwa watani zangu.Wale wanafanya tambiko kwanza mura.Jee ni mabomu au nini?nasikia maeneo ya Gongo la Mboto au Mbagalanaiskia milio mikubwa?