MTENDAHAKI
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,013
- 1,443
JWTZ imethibitisha kuwa hakutokuwa na ulipuaji wa mabomu katika ghala la gongo la mboto kama ambavyo uvumi ulianza kuenea!Hii ni kwa mujibu wa msemaji wa jeshi hilo alipokuwa akihojiwa na TBC jana!