Hapa ndo angalieni jamani!!
wasted ...
Lakini mbona haisemwi Mbowe huwa anatumia kiasi gani cha fedha zake binafsi kwa ajili ya shughuli za chama?duh mafisadi hawa, mkuu wao anakula 17%
kwa kweli huyu fisadi
I like this... sasa MBowe anagombea Urais wa nchi gani?