Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,531
- 8,616
Wakuu Kuna Members wengi sana Wamejiunga humu Last week!! Big %ge wanakitetea chama tawala.
Could this be another CCM move! Ukiangalia hata ile poll pale juu Imebadilika Ghafla.
Jitahidini, But Kura yangu mara hii nitampa anayestahili. whatever tactics you will use, You'll never convince me that you are clean!!
Ila watanzania sijui wlirogwa na nani? Yaani JK anapanda Jukwaani na kujinadi kuwa amefanikiwa vita ya mafisadi kwa Kiasi Kikubwa mnamshangilia? Hapa ndipo naishiwa Nguvu.
ni kweli mtoto wake ..na mtandao wake wametumia BAADHI ya vijana wanaosoma UDOM ...simnakumbuka wale "waliochanga" pesa za fomu....na wengine wa aina hiyo......the dataz ni kuwa wote waliojiunga JF kwa mtindo huo wanapewa ujira maalum ili kuja kumtetea Bwana mkubwa hapa......na zaidi wamepewa modem na lap top za bure......na offcourse pesa wanazolipwa zinawasaidia ku reload......na kutumia ........ni tofauti sana na wana wa nchi walio wengi humu ambao lap top..,modems wananunua wenyewe au ikibidi wanaenda kwenye surf centres kwa gharama zao.........SAA YA UKOMBOZI NI SASA!!!....PEOPLES .....!!!!!