Mpogoro
JF-Expert Member
- Dec 7, 2008
- 386
- 58
Mabele Marando dawa yake ni kumuua kisiasa...njia ni moja tu....kuyaweka maombi yake ya uanachama PENDING mpaka baada ya uchaguzi...tena wanaweza kulipigia press conference kabisa...ha ha ha ha!Yaani kipindi hiko atakuwa amechomoka CCM na huku CHADEMA ndo yuko pending basi najua kazi atakuwa nayo...ha ha ha ha....