Mabere Marando Ateuliwa kuwa mjumbe wa Kamati Kuu CHADEMA

Mkuu ndege ya uchumi. mimi sioni kama marando anakosa kwa kutokukubaliana na sera za uburuzwaji za mrema maana wote ni watoto wa baba mmoja na walikuwa wanatimiza wajibu wao.
Kosa kubwa kwa CHADEMA ni kutupa karata ya uaminifu mapema kabla hawajamsoma mchumba mwenyewe kama kweli ni mzalendo kivile.
Unajua mimi sishabikii mabomu ya kisiasa yanavyorushwa, bali umakini wa mipango na uhakika wa mfumo uliojengwa na kuheshimiwa hata inapolazimu mabadiliko. Ndo maana ingawa huwa nawananga sana hapa hawa walumendago (UwT) lakini kiukweli ninawadmire mno kwa kazi ngumu wanazozifanya na jinsi mfumo wao ulivyokuwa settled ingawa haueshimiwi na watumiaji wa mfumo huo.

Pia nawasihi CHADEMA wajitahidi kuwaandaa vijana kushika hatamu ndani na nje ya chama kama walivyofanya kwa akina zitto, mnyika, mdee et all. Tupike chakula chetu tuache kudoea kwa jirani

Mkuu Msanii, mimi ssiko ndani ya CHADEMA, sina uhakika na wewe ila unaonesha na wewe hauko ndani ya CHADEMA, Katika Suala la Vetting sina shaka kabisa na CHADEMA ingawa wanaweza kabisa wasiwe 100% perfect pale wanapomchunguza mtu. Katika kipindi hiki cha Uchaguzi kuna wanasiasa wengi sana baada ya kupigwa chini CCM sasa wanagombea kwa CHADEMA, siwataji kwa majina maana naamini unawafahamu. Katika hao naamini kabisa CHADEMA wanafahamu ni yupi watakuwa naye baada ya Uchaguzi na ni yupi Atarejea CCM kama wakishindwa Ubunge, sasa katika wote CHADEMA kwa nini hawajaamini hao kama wana tabia ya Ukurupukaji? Mimi naamini kabisa kama kweli Marando ni mtu wa TISS na anawafahamu vyema wenzie wa TISS na akawa mwaminifu kwa CHADEMA basi hii ni Tunu nzuri sana kwa CHADEMA kwa sababu wamepata mtu wa kuwa alert yupi ni Kondoo yupi Chui.

Nitapinga mpaka naingia kaburini mtu yeyote atakayesema kwamba Marando ndiye aliyeivuruga NCCR-Mageuzi, Marando did a miatake kwa kumpisha Uenyekiti Mrema na baada ya Uchaguzi Mrema akaanza kuonesha Makucha yake Halisi
 
Mkuu Msanii, mimi ssiko ndani ya CHADEMA, sina uhakika na wewe ila unaonesha na wewe hauko ndani ya CHADEMA, Katika Suala la Vetting sina shaka kabisa na CHADEMA ingawa wanaweza kabisa wasiwe 100% perfect pale wanapomchunguza mtu. Katika kipindi hiki cha Uchaguzi kuna wanasiasa wengi sana baada ya kupigwa chini CCM sasa wanagombea kwa CHADEMA, siwataji kwa majina maana naamini unawafahamu. Katika hao naamini kabisa CHADEMA wanafahamu ni yupi watakuwa naye baada ya Uchaguzi na ni yupi Atarejea CCM kama wakishindwa Ubunge, sasa katika wote CHADEMA kwa nini hawajaamini hao kama wana tabia ya Ukurupukaji? Mimi naamini kabisa kama kweli Marando ni mtu wa TISS na anawafahamu vyema wenzie wa TISS na akawa mwaminifu kwa CHADEMA basi hii ni Tunu nzuri sana kwa CHADEMA kwa sababu wamepata mtu wa kuwa alert yupi ni Kondoo yupi Chui.

Nitapinga mpaka naingia kaburini mtu yeyote atakayesema kwamba Marando ndiye aliyeivuruga NCCR-Mageuzi, Marando did a miatake kwa kumpisha Uenyekiti Mrema na baada ya Uchaguzi Mrema akaanza kuonesha Makucha yake Halisi
kama alifanya mistake basi anashiriki kwenye matokeo ya hiyo mistake. ila kwa ufahamu wangu ni kwamba marando alifanya makosa ambayo chadema wanaelekea huko. Mkuu mie sipingi yeye kuingia kwenye core ya chama ila huo utaratibu na uharaka wa kumwingiza humo imekuwa soo snappy!
Mimi bado sijakata kadi ya chadema bado I can declare that yes.

Kama akiwa kwenye positive position kuwezesha chadema kuextend na kuwini elections hapo nitashangilia lakini kukitokea matatizo ya kiufundi yatakayomlenga yeye mjue nitatupa mawe
 
kilombero kuko vizuri, hali ya kisiasa si mbaya ni kujipanga kulinda kura na kubana mianya yeyote ya wizi.

Kuna jamaa angu alijikita moja ya vijiji huko akikupigia kampeni atakuja hapa kusema lolote namshukuru lakini.
 
Marando ni "liability" katika vyama vya upinzania as much as is Mrema! Hawa wote ni waharibifu tu - Ni waajiriwa wa kuduma wa "Usalama wa Taifa". Hakuna aliye bora kati ya hawa wawili. Yaliyotokea Raskazone, Tanga - it was a well planned move kusambaratisha upinzani!

Nilkuatana na Marando, akiwa "Mbunge wa Afrika Mashariki" pale Korogwe - White Parrot Hotel - alikuwapo na Mwakyembe pia - Nilimwambia kuwa "wewe ni mzigo" katika siasa za upinzani hapa Tanzania - akajibu kuwa - "daraja la upadri" ni la milele!
 
You better be careful guys...keep on watching your watch....kuna mtu hakuwa makini mahali fulani!!!!!!!!!!!!

Najua kabisa mtalaumiana mbele ya safari heri ya wale ambao tayari wameonesha wasiwasi watakuwa na la kusema wakati ukifika.
 
Hivi Marando kaacha kuwa mtetezi mkuu kwenye cases za Mafisadi?

Ukipigana na Mafisadi kwenye siasa huku ndio unaongoza kuwatetea mahakamani, hata kama ni kazi lakini huenda morally ni wrong. Inabidi achague moja.
 
Hivi Marando kaacha kuwa mtetezi mkuu kwenye cases za Mafisadi?

Ukipigana na Mafisadi kwenye siasa huku ndio unaongoza kuwatetea mahakamani, hata kama ni kazi lakini huenda morally ni wrong. Inabidi achague moja.
Huwezi kuacha profession yako, kwanini madaktari huwa wanatibu waharifu, wafungwa, basi nawao wachague moja, walimu wanafundisha watoto wa mafisadi, mainjinia wanajenga nyumba za mafisadi nk, unapozungumzia profession ya mtu unazungumzia jamii nzima, huwezi kujifungia chumbani na vyeti vyako.
 
Marando ni "liability" katika vyama vya upinzania as much as is Mrema! Hawa wote ni waharibifu tu - Ni waajiriwa wa kuduma wa "Usalama wa Taifa". Hakuna aliye bora kati ya hawa wawili. Yaliyotokea Raskazone, Tanga - it was a well planned move kusambaratisha upinzani!

Nilkuatana na Marando, akiwa "Mbunge wa Afrika Mashariki" pale Korogwe - White Parrot Hotel - alikuwapo na Mwakyembe pia - Nilimwambia kuwa "wewe ni mzigo" katika siasa za upinzani hapa Tanzania - akajibu kuwa - "daraja la upadri" ni la milele!
wenye mauzoefu wananena sasa. siyo maneno yangu haya, ila nimehisi kuna tatizo ktk uamuzi wa CHADEMA kuharakisha kumpa degree ya kuaminika huyu jamaa.

You better be careful guys...keep on watching your watch....kuna mtu hakuwa makini mahali fulani!!!!!!!!!!!!

Najua kabisa mtalaumiana mbele ya safari heri ya wale ambao tayari wameonesha wasiwasi watakuwa na la kusema wakati ukifika.
Mkuu ingawa siombei mabaya lakini sisikii harufu nzuri ktk hili
 
Marando ni "liability" katika vyama vya upinzania as much as is Mrema! Hawa wote ni waharibifu tu - Ni waajiriwa wa kuduma wa "Usalama wa Taifa". Hakuna aliye bora kati ya hawa wawili. Yaliyotokea Raskazone, Tanga - it was a well planned move kusambaratisha upinzani!

Nilkuatana na Marando, akiwa "Mbunge wa Afrika Mashariki" pale Korogwe - White Parrot Hotel - alikuwapo na Mwakyembe pia - Nilimwambia kuwa "wewe ni mzigo" katika siasa za upinzani hapa Tanzania - akajibu kuwa - "daraja la upadri" ni la milele!

Hata kama na yeye ni muajiriwa wa TISS hawezi kuzuia changes atakachofanya ni kujaribu kuchelewesha tu....
 
Na kutetea mafisadi mahakamani siyo kosa eh?
hivi wew unajua maana ya sheria? sheria ni msumenoi kaka! wanapokula kiapo haimaanishi ati mwizi hawezi tetewa hata mwizi ana haki mbele ya sheria jamani sheria ni mizani! yeye pale amefuata maadili ya taaluma yake kutetea hao mafisadi ambao wewe unaona hawafai kutetewa!
 
All I know, kosa kubwa la Marando ni kukataa kuburuzwa na Augustion Lyatonga Mrema

Si kosa kukataa kuburuzwa na Mrema, ukiangalia calibre zao utaona kabisa kuwa wao ni watu tofauti. Hakuna anyeweza kukubali kuburuzwa na mtu anayemuona mjinga, au wa chini yake. Lakini ukiwa unfanya hivyo ni vizuri uangalie unafanya hivyo kwa maslahi ya nani, yako binafsi au ya walio wengi.

We are being told kuwa Marando alianza kuwa active CHADEMA wakati still yuko NCCR, what does this mean? umalaya wa kisiasa? may be NO. Political opportunism? May be yes and may be not. Nini kilimshinda NCCR, alifanikiwa kumkimbiza Mrema NCCR what followed there after, aliogopa kumfuata TLP kwa kuwa huko aliwaachia kazi wengine.

Ukuangalia track record ya Marando unaona kabisa kuwa sio mzalendo wa Tanzania, uzalendo wake uko CCM, kwa hiyo najua kabisa kuwa ameenda kule kuiharibu CHADEMA. Yeye ni part ya establishement ya TISS ambayo haijali maslahi ya Taifa inajali zaidi maslahi ya Chama na zaidi baadhi ya watu ndani ya CHAMA. Najua kuna members wengi tu CHADEMA kutoka TISS lakini Marando ni cancer, ni mtu wa kutupwa. In long run he is a liability to CHADEMA, and an obstacle to the hopes we Tanzanians have in bringing about change.

Kwa hiyo mkuu kosa kubwa la Marando ni ku-subotage opposition na kutokuwa na uzalendo kwa Tanzania. Mtei, Slaa, Zitto na wengine mlio ndani ya kamati ni vema mkitutoa gizani na mkatueleza ukweli kuhusu Marando, CHADEMA haifai kuwa kapu la makapi. We have invested our hopes in CHADEMA, tunajaribu kuwapa honest opinion ili kuilinda CHADEMA na kulinda future ya Tanzania.
 
Marando amekuwa akishirikiana na Chadema kwa muda mrefu tu kabla ya kujiunga rasmi na hilo viongozi wa Chadema wanalielewa na ku appreciate mchango wake. Mkumbuke kuwa kwa muda mrefu sana hakujishughulisha kwa namna yoyote na chama chake cha zamani cha NCCR-Mageuzi but behind the scene amekuwa mwanaharakati mzuri tu wa Chadema.

kwanini watu hawamuamini Marando?.....................either upinzani hawamuelewi au Marando si mwanharakati kam wengi wetu tunavyofikiri.................can we say penetration ya CCM imefaulu au?
 
Si kosa kukataa kuburuzwa na Mrema, ukiangalia calibre zao utaona kabisa kuwa wao ni watu tofauti. Hakuna anyeweza kukubali kuburuzwa na mtu anayemuona mjinga, au wa chini yake. Lakini ukiwa unfanya hivyo ni vizuri uangalie unafanya hivyo kwa maslahi ya nani, yako binafsi au ya walio wengi.

We are being told kuwa Marando alianza kuwa active CHADEMA wakati still yuko NCCR, what does this mean? umalaya wa kisiasa? may be NO. Political opportunism? May be yes and may be not. Nini kilimshinda NCCR, alifanikiwa kumkimbiza Mrema NCCR what followed there after, aliogopa kumfuata TLP kwa kuwa huko aliwaachia kazi wengine.

Ukuangalia track record ya Marando unaona kabisa kuwa sio mzalendo wa Tanzania, uzalendo wake uko CCM, kwa hiyo najua kabisa kuwa ameenda kule kuiharibu CHADEMA. Yeye ni part ya establishement ya TISS ambayo haijali maslahi ya Taifa inajali zaidi maslahi ya Chama na zaidi baadhi ya watu ndani ya CHAMA. Najua kuna members wengi tu CHADEMA kutoka TISS lakini Marando ni cancer, ni mtu wa kutupwa. In long run he is a liability to CHADEMA, and an obstacle to the hopes we Tanzanians have in bringing about change.

Kwa hiyo mkuu kosa kubwa la Marando ni ku-subotage opposition na kutokuwa na uzalendo kwa Tanzania. Mtei, Slaa, Zitto na wengine mlio ndani ya kamati ni vema mkitutoa gizani na mkatueleza ukweli kuhusu Marando, CHADEMA haifai kuwa kapu la makapi. We have invested our hopes in CHADEMA, tunajaribu kuwapa honest opinion ili kuilinda CHADEMA na kulinda future ya Tanzania.

Tangu lini ukaishauri CHADEMA?
 
Asante Regia, nimekuona kwenye mdahalo pale Moven Pick, Chadema did well. Hebu muiteni huyu kijana wa CUF pale Ubungo, japo anajua hawezi kushinda, he is good, hivyo asije zigawa kura za wapinzani ikawa ni vita vya panzi, itakuwa ni faida kwa kunguru!.
P, umenena sawia kabisa, ila kuhusu kumuita itakuwa ngumu hiyo maana jamaa ni mbishi ile mbaya japo hatoweza kushinda kama ulivyo sema kwani anajulikana Manzese tu na ndiko anako tegemea kura.
 
Back
Top Bottom