dolevaby
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 12,956
- 9,482
Nchi hii inawajinga wengi sanaNa wanasahau ni huyu huyu ndie alituambia serikali wenyewe tuna uwezo wa kujenga copper smelter inayohitajika na Acacia. Na watu tuliposema kwamba hizo ni porojo tu, misukule yake kama kawaida ikaishia kumwaga matusi tu!
Matokeo yake, hadi umauti umemkuta, hata "tofali" moja hawajajenga!
Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app