Haya sasa mabasi yaendayo kasi hayoooooooo
visingizio vingine vije sasa.....
Haya ni mabasi ya simba na yanga
Yutong kumbe inekwenda kasi........
Usidanganye wanajamvi, hayo ni mabasi yaliyotolewa na mdhamini (TBL) kwenda kwa klabu za Simba na Yanga.