Dr Guitar tz
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 312
- 247
Ilitokea kama miezi 4 nyuma,Gari zilizokua parking katika majengo yao pale jangwani ziliingiliwa mafuriko Na kusababisha hasara kubwa
Sijui viongozi hawakujifunza lolote kwa hasara ile hadi imefikia tena Gari nyingine nyingi zimelowa? tena tahadhari ya mvua kubwa kunyesha ilitangazwa,viongozi wa kampui walikua wapi mpaka kushindwa kuondoa mabasi Yale?hata kwa kuyavuta kwa breakdown kama ni mabovu?
Serikali ni mbia mkubwa ktk kampuni hii hivyo ni dhahiri kabisa uzembe huu umelisababishia taifa hasara kubwa,safari hii waliokua wazembe wachukuliwe hatua Kali.
Sijui viongozi hawakujifunza lolote kwa hasara ile hadi imefikia tena Gari nyingine nyingi zimelowa? tena tahadhari ya mvua kubwa kunyesha ilitangazwa,viongozi wa kampui walikua wapi mpaka kushindwa kuondoa mabasi Yale?hata kwa kuyavuta kwa breakdown kama ni mabovu?
Serikali ni mbia mkubwa ktk kampuni hii hivyo ni dhahiri kabisa uzembe huu umelisababishia taifa hasara kubwa,safari hii waliokua wazembe wachukuliwe hatua Kali.