antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 45,058
- 121,505
Kama mahakama zingekuwa huru ingewezekanaHatuwezi kumfungulia kesi ya kikatiba kumwondoa?
Kama mahakama zingekuwa huru ingewezekanaHatuwezi kumfungulia kesi ya kikatiba kumwondoa?
Hoja ya msingi hapo, mzanzibari hastahili kupewa nafasi yoyote kwenye serikali kwenye nafasi ambayo siyo ya Muungano.Unelewa vizuri sana sema umeamua kujitia ujinga.
Zanzibar wana Bandari zao kwaajili ya Wazanzibari.
Zanzibar wana Mamlaka yao ya kodi kwaajili ya Wazanzibari.
TPA & TRA ni kwaajili ya watanganyika kutuletea Wazanzibari huko ni kuwadharau watanganyika million 61.
Kwakuwa hakuna mtanganyika ZPA & ZRA ni ujinga wa kiwango cha SGR kutuletea Wazanzibari kuongoza taasisi ambazo zipo Tanganyika na Zanzibar.
Wewe upo mbali sana. TRA huko Zanzibar wakafanye nini?Kwani Zanzibar hakuna TRA?
Nijibu tafadhali
Tanzania Revenue Authority iko Zanzibar na inafanya Kazi, sasa Kamishna wa Ushuru na Forodha akitoka Zanzibar kuna Ubaya gani?Ndugu yangu, mbona hoja ipo wazi sana. Hujaelewa nini?
Sio zra ni zrb -zanzibar revenue boardWashauri wa Rais wameshindwa kujua Bandari na TRA ambazo ndio roho za Tanganyika hazipo kwenye Muungano au ni amri kutoka juu kwa ajili ya ujio wa DPW
ZPA - ZANZIBAR PORT AUTHORITY
TPA - TANZANIA PORT AUTHORITY
ZRA- ZANZIBAR REVENUE AUTHORITY
TRA - TANZANIA REVENUE AUTHORITY
Na wewe ndio bure kabisa!Wewe upo mbali sana. TRA huko Zanzibar wakafanye nini?
Namsaidia kujibuKwani Zanzibar hakuna TRA?
Nijibu tafadhali
Mimi sina silaha.Wewe huwezi? Lililokushinda wewe ndo lililowashinda wengine, sasa ingia kazini mwenyewe usiagize.
Sasa kuna Ubaya Kamishna wa TRA kutoka Zanzibar?Namsaidia kujibu
tra wapo na zrb wapo
Silaha unayo hapo hapo ulipoketi 😄😄Mimi sina silaha.
Na kule Zanzibar wanalisubiri hili kwa hamu kwan wao walsasema zamani wakaambiwa siasa kali hivyo lazima wadhibitiwe. Bahati mbaya hili lilisemwa mchana kweupe, tena kanisani. Sasa imekuja nafasi na fursa itumieni kwa faida yetu sote.Marehemu Tanganyika lazima afufuke,iwe mzimu au roboti lazima afufuliwe na apewe haki zake sawasawa na Zanzibar.
Watanganyika ni Maneno tu na kupiga diliNa kule Zanzibar wanalisubiri hili kwa hamu kwan wao walsasema zamani wakaambiwa siasa kali hivyo lazima wadhibitiwe. Bahati mbaya hili lilisemwa mchana kweupe, tena kanisani. Sasa imekuja nafasi na fursa itumieni kwa faida yetu sote.
Usijali; sisi tulipindua kwa shoka na mapanga, yatumie yamejaa tele ila hutofanya kwani unaogopa kufa na sasa ni mdomo mwingi tu.Mimi sina silaha.
Na wewe unaunga mkono huo wizi?!Mfano.
TRA inakusanya fedha halafu 25 % inapelekwa Zanzibar, lkn ZRB (ZRA) inakusanya fedha kwa ajili ya Zanzibar tu.
Unajua sa100 mwenyewe hapendi muungano huu jinsi ulivyo. Anachotaka kufanya ni kusaidia muungano uwe kwa jinsi Wazanzibari wanataka. Hivi afanyavyo ni ili muongee, mwanzo si mlikuwa mnakaa kimya sasa mtaongea ili tukiijadili katiba mpya muda huo akili iwakae sawa. Na bado wakuu wa mikoa wanakuja WazenjiUnelewa vizuri sana sema umeamua kujitia ujinga.
Zanzibar wana Bandari zao kwaajili ya Wazanzibari.
Zanzibar wana Mamlaka yao ya kodi kwaajili ya Wazanzibari.
TPA & TRA ni kwaajili ya watanganyika kutuletea Wazanzibari huko ni kuwadharau watanganyika million 61.
Kwakuwa hakuna mtanganyika ZPA & ZRA ni ujinga wa kiwango cha SGR kutuletea Wazanzibari kuongoza taasisi ambazo zipo Tanganyika na Zanzibar.
Hakuna ubaya bwashee, tena wasilolijua ni kwamba tra wanatoka bara asubuhi mapema wanakuja zanzibar wankusanya mapatooooo na jioni wangeuza kurudi baraSasa kuna Ubaya Kamishna wa TRA kutoka Zanzibar?