mmh
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 2,910
- 5,081
we jifanye unga wa cement wakati ni unga wa muhogo tu uone kama utafyatua hata tofali mojaUtumwa ndio unafanya wanaume kugeuzwa wanawake, acha ujinga.
we jifanye unga wa cement wakati ni unga wa muhogo tu uone kama utafyatua hata tofali mojaUtumwa ndio unafanya wanaume kugeuzwa wanawake, acha ujinga.
'Nimeipokea ripoti, kazi hii si ndogo ina gharama kubwa'-Waziri Nape
Watanzania tumejaa sana ushabiki, alizidisha mihemko jana kwamba yeye ndio mmiliki wa vyombo vya habari.Hili lilitegemewa .Nape alifanya jambo la ovyo kupita maelezo.Tumeyaeleza yote haya Jana.Mliishia kutukana Jerry Muro aliwaambia kwa usatadi na Kitaaluma mkamdharau.Kiko wapi Sasa ?
Hahaha kama nakuona unavyotamani kutoroka job ukapate vitu vyako.AAHhh acha tu kila tusi ninalo mpa naona halimtoshi sijui nini nifanye niwe normal
Unaijua siasa, Nape alikua anapambana na lowasa sababu ya Membe, ampe Jimbo, baada ya Membe kukosa, unazani Nape ulimuona anazunguka na Magufuli.. Nape alibaki Mtama, baada mitandao ya kijamii kuhoji Nape yupo wapi, ndio akaibukia Iringa.. Maisha ya siasa ya Nape yameishia hapo