Kuna kale kausemi ka kale kwamba usimtukane mamba kabla hujavuka mto....daaah yametimia! Too bad kwa Nape, too bad kwa katiba ya nchi na sheria kwa ujumla!bao la mkono kamtoa ha a haha analo
Ushauli wangu kwangu Nape wala usihuzunike na kusikitika nenda jimboni kwako kafanye kazi ya ubunge kwa ufanisi mkubwa sote tunafahamu wewe na Kinana ndiyo mliyofanikisha kufufua CCM Leo waliodandia treni wanajiona bora na kukuripa kwa hayo. achana nao sisi ndio waamuzi wamwisho yote uliyofanya tumeyaona na kuyathamini.Hiki ndicho nilichokitegemea taasisi kubwa ya urais imevamiwa na mtu asiye na utashi WA uongozi wala hekima na kama mkilinyamazia kimya Hili basi Mengi yatajitokeza.
Pole nape nenda Baba juhudi zako tumeziona na tumekuheshimu..
Hivi uliwahi kujiuliza ni kwa nini unaenda kusali Kanisani kila Jumapili na si Msikitini Ijumaa? Au unaenda nyumbani Kigoma na sio Mtwara? Hii ni kwa sababu kuna kitu unachokiamini na ndio maana unakifanya lakini huna uhuru hata kidogo kumlazimisha mwenzio kutoamini vya kwake na kukufuata wewe eti kwa vile ndio 'uko sahihi'.Alikuwa na nafasi kwenye vikao vya baraza la mawaziri kutoa ukosoaji huo.
Ni kweli mkuu imeshawekwa iko hapo juuJamani kuna tweet ya Nape ya kuita press tuwekeeni hapa kama ni kweli.
Sio nyota mkuu.Upendo wa kimungu huu...
Daaah...hii nyota kaliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Mi naona tunaelekea kuzuri, Tanzania mpya inakuja!Hii ni hatari sana,tuendako sio kuzuri hata kidogo
Umewaza nje ya box,asante kwa kunituliza munkariKuwa na hasira kidogo lakini furahi sana!! FUrahi sana kwa sababu; JPM angekuwa anatumia kichwa kufikiri angegundua kwamba Nape ulikuwa ni mtego uliojificha wa kumpima JPM ni mtu wa aina gani!!!
Kama ilivyotarajiwa; ameingia kichwa kichwa kutokana na kiburi chake!! Kumtumbua Nape ameshatoa picha halisi ya yeye ni mtu wa aina gani hasa!! Anaweza kujifanya hajali lakini hili litawafanya wengi waanze kuiona vizuri image iliyojificha ya huyu mzee jambo ambalo ni zuri kabisa kwa sasa! Wapo wanaodhani JPM ni malaika... sasa ndo waone Malaika anayemwacha anayestahili kushughurukiwa na kumshughulia ambae hakupaswa kushughulikiwa!!!
Sina shaka Nape alishijiandaa kwa hili hasa ukipitia tweets zake za nyuma... huyu alishachoka na alikuwa anatafuta sababu muafaka na JPM akajiingiza kichwa kichwa!!!
Huyo sio dikteta uchwara tena bali dikteta halisiMwakyembe amechukua nafasi yake,Paramagamba kabudi amechua nafasi ya Mwakyembe