inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 18,099
- 18,443
Acha wogaNi wazi mama anamuandaa kijana wao ili ampishe kiti cha Urais 2025
Hatagombea
Hawa watu wamejipanga wanata kijana wao akae kwenye wizara isiyo kuwa na heka heka Ili asichafuke isije kumuharibia kuelekea 2025
Ndio maana awamu hii wanataka wasaini mikataba yote mibovu kwasababu samia anajua hana cha kupoteza kwa kuwa 2025 anamuandaa kijana fulani
Watanganyika tujiandae kwa mateso mengine makubwa kuanzia 2025-2035
TANGANYIKA tulimkosea nini Mungu?