Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Ni pigo kubwa kweli kweli kwa JK kutoka kwa maaskofu hawa. Ni kubwa kweli kweli. Jk afahamu kwamba mialiko ya namna hii wakati wa kampeni ni unethical, inaweza kutafsiriwa vibaya, lakini yeye huwa hajui mambo hayo. Kweli ana washauri!