Nenda katubuKuna wawili wapo Bukoba, wawili wako Zanzibar, wawili wapo dar wamekuwa wakitoa matamko makali ya uchochezi na uvunjifu w Amani lakini wanatamba mitaani, hakuna Wa kuthubutu kuwagusa! Watu Wa imani nyingine tunajifunzanini katika hili??
Sheikh ponda alivyokamatwa, alifanya uchochezi gani
Hao masheikh wenye kusifia serikali ndiyo wenye kutumiwa na ccm ila Kakobe ndiyo hatumiki na yeyote bali anatumia uhuru wake!!!
Sasa waambia masheikh nao watumie uhuru wao kama Kakobe halafu uone.
we jamaa ni fala km jina lako.Kuna wawili wapo Bukoba, wawili wako Zanzibar, wawili wapo dar wamekuwa wakitoa matamko makali ya uchochezi na uvunjifu w Amani lakini wanatamba mitaani, hakuna Wa kuthubutu kuwagusa! Watu Wa imani nyingine tunajifunzanini katika hili??
ndio uko kwa ras simba unajifunza kuunga unga?Na kama sio uchochezi, kwa nn wanahangaika nae
Unawezaje tofautisha issue ya maaskofu na ya ponda
In short mtoa mada has a good point that many of us are just sitting quite watching, but our brains are working pretty good than they think.
Maneno sio ya uvunjifu wa amani, lakini inatufundisha waislam hatuna akili , hatuna umoja, viongozi tulionao ni type ya akina faiza Foxy, Ritz unategemea nini,Kuna wawili wapo Bukoba, wawili wako Zanzibar, wawili wapo dar wamekuwa wakitoa matamko makali ya uchochezi na uvunjifu w Amani lakini wanatamba mitaani, hakuna Wa kuthubutu kuwagusa! Watu Wa imani nyingine tunajifunzanini katika hili??
Kwanini hawa hawaguswi waislam mwaka huu niwakujifunza inawezekana tunaishi kama wapalestina na wenzetu ni waisraelunataka kusema nini na wewe,..umeshaanza kusema kuna udini,du watu hamuachi kuleta vituko nchi hii.
Inawezekana ndio huku anazuga tuSheikh wa mkoa wa Dar ni askofu na yeye? Mbona yeye ndio anaongoza kutoa matamko kuusifu upande wa pili?
Tulipokusudia kuwasomeeni Ahul Al Badri moja tu mliwehuka. Wait for the next season ya kisomo. Mtamwagikana kabisaa
Kuna wawili wapo Bukoba, wawili wako Zanzibar, wawili wapo dar wamekuwa wakitoa matamko makali ya uchochezi na uvunjifu w Amani lakini wanatamba mitaani, hakuna Wa kuthubutu kuwagusa! Watu Wa imani nyingine tunajifunzanini katika hili??