Ukiambiwa utubu ni uvunjifu wa amani?Kuna wawili wapo Bukoba, wawili wako Zanzibar, wawili wapo dar wamekuwa wakitoa matamko makali ya uchochezi na uvunjifu w Amani lakini wanatamba mitaani, hakuna Wa kuthubutu kuwagusa! Watu Wa imani nyingine tunajifunzanini katika hili??
Kuna wawili wapo Bukoba, wawili wako Zanzibar, wawili wapo dar wamekuwa wakitoa matamko makali ya uchochezi na uvunjifu w Amani lakini wanatamba mitaani, hakuna Wa kuthubutu kuwagusa! Watu Wa imani nyingine tunajifunzanini katika hili??
Kwani kuna " imani" gani nyingine?!!!!!Kuna wawili wapo Bukoba, wawili wako Zanzibar, wawili wapo dar wamekuwa wakitoa matamko makali ya uchochezi na uvunjifu w Amani lakini wanatamba mitaani, hakuna Wa kuthubutu kuwagusa! Watu Wa imani nyingine tunajifunzanini katika hili??
HovyoooooKuna wawili wapo Bukoba, wawili wako Zanzibar, wawili wapo dar wamekuwa wakitoa matamko makali ya uchochezi na uvunjifu w Amani lakini wanatamba mitaani, hakuna Wa kuthubutu kuwagusa! Watu Wa imani nyingine tunajifunzanini katika hili??
Tena hakosi ikulu.Sheikh wa mkoa wa Dar ni askofu na yeye? Mbona yeye ndio anaongoza kutoa matamko kuusifu upande wa pili?
Kuna wawili wapo Bukoba, wawili wako Zanzibar, wawili wapo dar wamekuwa wakitoa matamko makali ya uchochezi na uvunjifu w Amani lakini wanatamba mitaani, hakuna Wa kuthubutu kuwagusa! Watu Wa imani nyingine tunajifunzanini katika hili??
Sheikh ponda alivyokamatwa, alifanya uchochezi ganiUkiambiwa utubu ni uvunjifu wa amani?
Na kama sio uchochezi, kwa nn wanahangaika naeUkiambiwa utubu ni uvunjifu wa amani?
Ungekuwa na utaratibu wa kutubu kwanza kabla ya kutoa mada, usingeposti ujinga huu!..Kuna wawili wapo Bukoba, wawili wako Zanzibar, wawili wapo dar wamekuwa wakitoa matamko makali ya uchochezi na uvunjifu w Amani lakini wanatamba mitaani, hakuna Wa kuthubutu kuwagusa! Watu Wa imani nyingine tunajifunzanini katika hili??
Naona kiki za 2017 chali mafuta yamemwagwa shimoni.Wakisifia hakuna uchama wakikosoa chama Fulani. Unaweza ukauwa vyama lkn huwezi uwa upinzani. Vipi wale wahamaji kuunga mkono bado wapo au ndo kiki zimebuma.Nani anahama wiki hii.Wote ni wafuasi wa chama fulani ivyo usihangaike nao...tulia tu.