Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,469
- 17,581
Huwezi kumchoka bosi wako anaewalipa mshaharaKwa taarifa yako hata FFU wamechoshwa na baadhi ya Mambo sababu wanaopata tabu mitaani ni Baba, mama, wajomba, kaka, dada zao n.k
Hivyo Hilo Jambo sio masihara...
Hio iweke akilini